Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
πππZa asubuhi jirani πππEeeeee aloooooo π
Qmanina zenu bado hamjasema ππππ
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyangβau wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotakaβ¦.
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na idβs za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uogaβ¦.. π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga ππππππ