Huyo ndo hata sub pale benchi asikae,Mshaanza kupanic vijana
Nasemaje hii mechi bado sana, tafuteni mbinu ya kupindua meza ila vibabu vimejipanga nawaambia oohh!!
Tena ww kipindi cha pili nitamwambia kocha akutoe amuingize mshamba_hachekwi
Wee tubless kwan shingoo bhana,Eeh makubwa.
Mi wa kawaida Coca sina lolote
Tin alifeli sana hapa, penzi la kijana lilimzidia akawauza vibabu
Hapa kijana Rab alipiga shuti kali mpk nyavu za upande wa vibabu zilitikisika sana, hasa yule Elon Musk alipigwa tobo mpk akazimia
Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzrβ¦.
Wanaishia kuja na id nyingine kunisema na bado nawakanda na hizo hizo idβs zao wanazojifichia
Tin ww ni mzuri nakwambia hapa selfika nzima, atakayebisha aweke pic tuoneβ¦
Wakurya wazuri sana, sema shoga angu kuchuna kakufundisha nani?? Mana umevipiga visate sauzandi
Wakurya mbona sio wachunaji au umechukua kwa mama??
Nimepitwaaaa. WoiiiiihOyooooooo!!!
Ila Tin sijui kwann ulikaa kimya wakati hizi mbanga unaziweza vzr tyuu!!
Ww na vibabu mpk wakutoe roho
Watu weuweeeeeeeee!!!Chap nafuta
Aisee hahaa ni balaa unavyojua kukanda .
Hapana Mimi si mzuri bhana , Kuna visu wapo humu ndani wa maana huwezi nifaanisha nao .
Wakina boss lady na sio mm
Mimi ni ile grade ya mwisho , tunamshukuru Muumbaji basi .
Mimi sio mchunaji bhana , kwanza hakuna thirty wala nn.
Laiti ungejua siwezi hata kuomba hela mtuHadi nibanwe haswa .
Aki hii wiki imeisha kimajonzi sana mosi yanga kafuzu robo, pili liverkuku kachukua ubingwa, tatu simba tumedraw na mwisho mwanitesa united kafungwa. Nimpe pole Depal kwa kipigo kingine. Na nikupe hongera wewe Saint Anne hope jana ulimsusia yote Wigelekelo π
Selfie yako imenipita jamani. Sema uwe makini sasa Ndumilakuwili ndio tumejaa humu mtu anakuchekea kukutease then anaenda upande wa pili anayamwaga yote mlioongea huko nako anayachota kukuletea wahivo ni zaidi ya hatariAkhuu Mimi Niko na vijana sema wasumbufu tunaendana hivyo hivyo .
Wazeee mie siwawezi kwa kweli .
Yani mtu kama baba yako .. hapana na nimekoma .
Niliona hiyo meme nikakumbuka ππ
Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .kwahyo ni uongo kuwa mjep hakukupa sate sauzand? Na jee hotel /room aliyofikia hukuingia? Je siku ya 2 hukurudi kumsaidia kuchagua vyomboo?
Tujuzee DA tin tafadhariiiii,
huku nlipo kipenzi ndio kumekucha, na jana nlilala kinyonge sana bila uwepo wako. siunajua navyokupenda.Kumeshakucha, sa hv mchana kabisaππ
Asante sana nashukuru sana kipenziSelfie yako imenipita jamani. Sema uwe makini sasa Ndumilakuwili ndio tumejaa humu mtu anakuchekea kukutease then anaenda upande wa pili anayamwaga yote mlioongea huko nako anayachota kukuletea!
Kuna Watu kutwa kuhaha pm kuulizia taarifa za watu ili azipeleke vizuri ili ku create enmity wapate cha kujadili take care !
Watu hawatakuelewa hata usijichoshe ku clear air Ndiokwanza unawapa airtime ya kukuchafua na kukudhalilisha my dear huwajui vizuri nakwambia!Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .
Hiyo thirty ni alinipa tu mkaka wa watu .
Kama ya usafiri ..
Just to clear the issue
Hakuna la zaidi .
Huyo Rabit huyo atakuja kung'olewa meno.Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .
Hiyo thirty ni alinipa tu mkaka wa watu .
Kama ya usafiri ..
Just to clear the issue
Hakuna la zaidi .
Pole jana nilibanwa na mme mkubwa, leo ntakuja mapemahuku nlipo kipenzi ndio kumekucha, na jana nlilala kinyonge sana bila uwepo wako. siunajua navyokupenda.
Yani ni kuwaangalia tu kama kideo na vichwa vyao kama amira.Selfie yako imenipita jamani. Sema uwe makini sasa Ndumilakuwili ndio tumejaa humu mtu anakuchekea kukutease then anaenda upande wa pili anayamwaga yote mlioongea huko nako anayachota kukuletea wahivo ni zaidi ya hatari
Kuna Watu kutwa kuhaha pm kuulizia taarifa za watu ili azipeleke vizuri ili ku create enmity wapate cha kujadili take care !
Umesema kweli kabisa dearWatu hawatakuelewa hata usijichoshe ku clear air Ndiokwanza unawapa airtime ya kukuchafua na kukudhalilisha my dear huwajui vizuri nakwambia!
Tuendelee kuselfika tu nakwambia achana na kujianika Tin. Anajisemeaga Smart911 Yagangwe yajayo!