Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha kumpanga mwenzio ana sura ya Babu yake Mzee Mwakatobe wa Ubaruku. Ebu weka basi na yako tuone Komwe na sura ya mjomba wako wa kisukuma😀😃😄😁😆
Tatizo lako uduguu ni moja kila unavyojitahidi kuchange id, maandishi yanakudhalilisha…. Halafu siko usukumani, hebu weka yako tuone mitraako mikubwa km mawe ya mtoni 😂😂😂😂
 
Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea

Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.

Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali
Ufanyie kazi.
 
Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea

Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.

Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali jua
Ufanyie kazi.
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
 
💚💚💚💚💛💛!🎵Ntakupenda leo kesho mpaka pumzi ya mwisho may be even more 💪🎶🎶🎶


Smart911 🤸💞💞💞💞💞!

Mrare unono wapendwaaa 💛💛💚💚✌️✌️
Na picha
 

Attachments

  • Screenshot_20240224-210016~3.jpg
    Screenshot_20240224-210016~3.jpg
    70.5 KB · Views: 7
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Genious sis! Uko na akili mingi sana wee mwanamke!!

Hakika mumeo amepata jembe!!

Sema Tin anaonekana ana moyo mdogo sana hawezi kuhendo anavonangwa humu!

Kwanza asingeomba hata ule msamaha!

Ye Aje aendelee na life lake tu
Kabisa ccy Waylen Tinsley ukipata jumbe hizi tafadhali uje ujee ujee.
Sisi pia tunakosea na tunawakosea watu pia na wanatusamehe na kutupenda tena, Kwa sababu hatuna mabaya pekee na mazuri pia au ccy Mahondaw unasemaje.
 
Back
Top Bottom