Selfika na JF: Snap it. Show it

wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
Oyoooooooo!! Kantry umesikia??? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Haya mkanywe mbege, huku ulikoingia siko
 
wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
Huyo kumpa pesa ni sawa na kuchota maji kwenye pipa na kumwaga baharini

Namaanisha
 
nasemajee harusiii tunayooo.
Uchumba suguuu mwsho FB na insta,

JF tunataka ndoaaa, harusiiii ipooooo.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ukipandisha kitonga ujue mikoa ya uko wote hatukalishwi uchumba sugu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nyanda za juu sisi ni ndoa tyuuu!!
 
 
Ww jf yote tulikushindwa hadi mm mbishi nilinyoosha mikono, huyo mmoja hataweza
shem nimechekaaa, sahivi nimeamua kutulia, ila wakati ulee, nlkua navurugana na watu, bas ntatumia pc, ntaona nachelewa kutype nahamia kwa cm had inapata motooo, narud kwa Pc .

Najionaa nimepoaa wallah, na ukubwa unachangiaaa.
 
Sasa hivi umepoa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…