Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!
Angekuleta wima wima nakwambia na ungenangwa zaidi ya ulivyonangwa.!!
Humu ni kuishi bila kujuana wakeshe wanahangaika kukutafuta, hii kujuana imeleta shida sanaaa.!! Mtu anakuchambua km ana kadi lako la clinic dadeq..!!
Hawa watu wanaojifanya wapole humu ni waongo sijapata kuona, kwanza wana idβs zao za kuchamba tofauti na walizozoeleka.!!
Wanapenda kuonekana wastaarabu kumbe wapuuzi afu tunawachora, tunawacheka hihiiiiiiiii