Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

When the big brains are busy doing magics and wonders, SI tuko bize kutafuta distraction 🤒.
FB_IMG_16943409181265025.jpg
 
Oyaa naona Bado una lalama, Kama vipi Kafie mbele.
Who the hell do you think you are??, Kill saaa una Tafuta attention maza fantastic wewe.
Comment moja unareply mara mbili mbili vipi? Umepanic?

Nimekueleza huna haja ya kupanic, umeona mm nikipanic? Basi tulia

Wewe panic, mm nakwenda taratibu tu sina haraka
 
Bro mtu Ume mu ignore, still ana talk trash Kama taarabu.
Nime mpa chance, Hizi vitu tuvi malize kwa action- still kagoma.
Halafu hasira zote, kisa Ni mbuzi mmoja KUPEWA ban- for real
Mbuzi??
Alafu a man ukawa unahangaika kupeleka umbea mbalimbali kwa mbuzi? Ukawa na shobo kama zote? Baada ya kuona men mmekua wambea sana akawapiga block. Bado ni mbuzi tu?

Mkahangaika kutaka kumjua? Nilikuambia unafikiri ni easy tu, unalala unaamka unamjua?

Tayana-wog niliona umesema mbona umeweka namba hadharani, Waulize hawa waliohangaika kumjua kama ni rahisi. Pm tu waliishia kupigwa block pamoja na umbea wote waliofanya
Ni kuwawekea tu namba za madalali wa viwanja au wale wa chukua yote, au za wale tuma kwenye namba hii
 
Shida Kuna mtu ana ugonjwa wa simping .
Mm mwenye ugonjwa huo na wewe pamoja na crew yako mliogeuka kuwa wambea unaona bora kipi?

Kabisa mnakusanya umbea mnaenda kupiga kwa wadada? Hii aibu itaawaandama sana

Alafu Kuna siku huu umbea mliofanya nitauweka wazi, maana unahusu watu ambao hapa hadharani mnajifanya ni friends mnawapenda
 
Mngejua umbea wanaopigaga huko, ni basi tu. Kama hawakujui omba wasikujue kamwe, huo ndio ushauri wangu kwako.
Najua sana mkuu, humu ndani ni kuishi kama watu wanavyotaka uishi. Hata wakipiga umbea huko ni juu yao na shauri zao mwisho wa siku they don add anything on my/ our plates.

Acheni kurumbana sio vizuri, mmoja wenu inabidi atulie ili marumbano haya yaishe
 
Back
Top Bottom