Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,564
Ni kama walikua wanatafuta sababu wafanye hivyoHivi mods wanaangalia vigezo gani kutoa " muda" wa hiyo adhabu ya bam?? Miezi mitatu mbona ni too much jamani
Ni kama walikua wanatafuta sababu wafanye hivyoHivi mods wanaangalia vigezo gani kutoa " muda" wa hiyo adhabu ya bam?? Miezi mitatu mbona ni too much jamani
MakubwaMiezi mitatu
Haipo fair kabisa.Makubwa
Kwa ajili ya nn hasa muda wote huo?
Sawa bossNaomba namba yake nimpe pole chief
Ngoja nifuteMmh is it fine kuweka hapa?
DuhHaipo fair kabisa.
Yes ,do it rfkNgoja nifute
Ni ban ilikuwa inatafutiwa sababuDuh
Ngoja na wengine tusepe kwanza Kwa muda huo
Upuuzi mtupuNi ban ilikuwa inatafutiwa sababu
Huyu jamaa aliyeanzisha hii post ndio sababuUpuuzi mtupu
Like serious? Bt how? Kwann ht nimekuja hapaHuyu jamaa aliyeanzisha hii post ndio sababu
Serious, huyu alileta mambo ya nyuma sana yaliyopita miezi miwili huko, kwenye kubishana ndio akapigwa banLike serious? Bt how? Kwann ht nimekuja hapa
Usiondoke madam😭😭Duh
Ngoja na wengine tusepe kwanza Kwa muda huo
Duh..Serious, huyu alileta mambo ya nyuma sana yaliyopita miezi miwili huko, kwenye kubishana ndio akapigwa ban
Cute wife alimsadia dogo humu kama mdogo wake tu tena kimya kimya tu. Yule dogo kwa wenge akihisi labda mm sijui, maana nilimwambia hamuwezi kuonana na nilikuwa naelewa nachomwambia. Cute wife alikuwa china, huyo dogo yupo tz, wangeonana vp? Na hata cute wife angekua tz wasingeonana, ni jambo ambalo haliwezekani
Dogo akaleta humu masifa yake kujifanya wameonana. Hiyo kitu cute wife hakupenda Ila alikausha tu
Baadae dogo alivyozidi kuzingua ndio akamuambia hata hiyo siku hakupenda alichofanya. Maana alimsaidia kimya kimya yeye akaleta huku. Dogo akaomba msamaha yakaisha. Kumbe inaonekana dogo na hawa wenzake bado walikua nayo moyoni, kwa nn cute wife aje aseme hadharani amemsadia.
Zimepita siku nyingi wanakuja kuibua tena hili jambo juzi. Hapo ndio kubishana na hatimaye ban
USI amini kwa kusikia🤒Upuuzi mtupu
Kukaa kwangu kimya, hakukupi sababu ya wewe kuni taja na kuni husisha katika upuuzi.Huyu jamaa aliyeanzisha hii post ndio sababu
Bro Hizi story Zina kuwa nyingi Sana, Sasa waku tafutiwa ban ni yupi??Duh..
Oyaa naona Bado una lalama, Kama vipi Kafie mbele.Huyu jamaa aliyeanzisha hii post ndio sababu
Alafu we jombaaa, utakuja usababishe majanga mengine.Huyu jamaa aliyeanzisha hii post ndio sababu