Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,796
- 8,945
Doh, mnaanza kuharibu kijiwe kipya jamaniNaongea na yeye anaanza kutag wengine, alivyo hajiamini
Alafu huyu usimuone wa maana sana, amefanya kuna mtu kapigwa ban
Doh, mnaanza kuharibu kijiwe kipya jamaniNaongea na yeye anaanza kutag wengine, alivyo hajiamini
Alafu huyu usimuone wa maana sana, amefanya kuna mtu kapigwa ban
Mkuu Kama unajua siji amini, naomba Nikupe location uje na yoyote unayee muamini.Naongea na yeye anaanza kutag wengine, alivyo hajiamini
Alafu huyu usimuone wa maana sana, amefanya kuna mtu kapigwa ban
Kaja na hasira + chuki ya kushangazaDoh, mnaanza kuharibu kijiwe kipya jamani
Uniweke sawa kivipi???, Kwa Sera au utaratibu upi🤔🤔.Mm niwe na vita na wewe? Nakua natafuta nn?
Hapo sijabweka Ila nakuweka sawa, vp umecatch feelings?
Hiyo sentesi Ina onesha una chuki na hasira dhidi yangu, Sasa mi nakupa nafasi uje u test zari🤒.Alafu huyu usimuone wa maana sana, amefanya kuna mtu kapigwa ban
Madam mi namuweka sawa tu, Ina onesha ana hasiraa na MimiMnaanza kuharibu uzi
Embu mpe mtoto mzuri kwanza halafu Mambo mengine yaendelee wanaume kutunishiana misuli mbele yetu ni aibu bhanaMadam mi namuweka sawa tu, Ina onesha ana hasiraa na Mimi
Hapa kama kitaa tu,haiwezi kukosaMi sijui![]()

Mi natangaza amani tu 😁Hapa kama kitaa tu,haiwezi kukosa![]()
Shida ana ongozwa na hisia zaidi, kafika na kuanza kudis watu.Embu mpe mtoto mzuri kwanza halafu Mambo mengine yaendelee wanaume kutunishiana misuli mbele yetu ni aibu bhana
Sawa, chart na pichaMi natangaza amani tu![]()
Sawa
Hapa ndio umekaza hadi mwisho sio? Huwa sipigi mkwara kwenye maandishi. Hata ngumi unaweza kukunja kweli?Mkuu Kama unajua siji amini, naomba Nikupe location uje na yoyote unayee muamini.
Bring anyone within and outside your power, alafu uje
.
Trust me hii itakuwa your worse nightmare, you ever had in your life .
USI lete maneno Sana, Kama vipi let's take it to action
![]()
Kurudia rudia haya ni dalili ya uoga, alafu ulivyo laini hivyo unajiamini vipi tena?Uniweke sawa kivipi???, Kwa Sera au utaratibu upi.
Let's finish this war in action, maana naona ume nifata na hasira zako.
oyaa tusi poteze maneno Sana, kama vipi nakupa location uje nilipo.
Ain't giving a shit about you, chagua kichafuke wapi.
Uje na yoyote, saa yoyote, nIshtue nikuonyeshe huwa tuna ishi vipi
![]()
Chuki na wewe ili iwe nn? Huwa sinaga chuki, hasira yes huwa ninazo. Unahisi nina hasira na wewe?Hiyo sentesi Ina onesha una chuki na hasira dhidi yangu, Sasa mi nakupa nafasi uje u test zari.
Bro get anyone who you think might help, ya nini kutumia maneno na sisi ni wanaume.
Najibu kwa hoja na sio kuruka Kama kitenesi.Chuki na wewe ili iwe nn? Huwa sinaga chuki, hasira yes huwa ninazo. Unahisi nina hasira na wewe?
Kwa hiyo unataka tukutane for a fight? Unahisi mm ni mtoto mwenzio?
Hayaa uli tamka kwa maana, ningoje nini 🤔. Afu unasema huna chuki🤒Wewe jamaa ni ngoja tu
Bro tusi malize maneno, Ina paswa tumalize at once kwa vitendo.Kurudia rudia haya ni dalili ya uoga, alafu ulivyo laini hivyo unajiamini vipi tena?
Hii kukutana mbona unasisitiza sana? Vipi nimo kwenye vigezo nn?
Ume sema huna chuki??Chuki na wewe ili iwe nn? Huwa sinaga chuki, hasira yes huwa ninazo. Unahisi nina hasira na wewe?
Kwa hiyo unataka tukutane for a fight? Unahisi mm ni mtoto mwenzio?
Hi tuna itafasiri vipi???, Ningoje nini, Kama vipi action ihusikeWewe jamaa ni ngoja tu