Umenitukana vya kutosha ujue siwezi tena kuendelea kuvumilia matusi yako,, enough is enough na mimi nina moyo tena wa nyama eti..







tatizo ningekualika ungekuja sasa?? Tena wewe uko karibu kabisa hapo tu yaani
Mfyuuuu jishaueM
Hivi yule kamaliza kumbe? Nilijua bado kanasoma. Hapa tuna watoto watatu walograduate ila hata mialikoMwambie roho mbaya haijengi; na yule mwenzie aliyemaliza Udom



Ndio asante kwa kinyakyusa hiyo?
Mie mwalimu.
Nialike na mimi shee.Jumamosi mnadani loliondo USIKOSE



yule bado hajamaliza jamani msimsingizie
Mwambie roho mbaya haijengi; na yule mwenzie aliyemaliza Udom
Oooh! Okey.Labda kinyakyusa cha malawi
Utoto raha.
tatizo ningekualika ungekuja sasa?? Tena wewe uko karibu kabisa hapo tu yaani
Hivi yule kamaliza kumbe? Nilijua bado kanasoma. Hapa tuna watoto watatu walograduate ila hata mialiko![]()
Ndio.Unaona majibu yako??
Sidhani kama kamemaliza kae, katakuwa ndio mwaka wa2 labda.Nafikiri na kale kamemaliza
Umesema una watoto wanne, wa kwanza ana umri gani?Mie mwalimu.
Kumbe bado hakajamalizaSidhani kama kamemaliza kae, katakuwa ndio mwaka wa2 labda.
8Umesema una watoto wanne, wa kwanza ana umri gani?