Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Piga magoti uniombe msamaha mimi nasema
Kumbe bado ni mbegu hata hujawa yai![]()
Kumbe bado ni mbegu hata hujawa yai![]()
Usijali, utakua tu.Piga magoti uniombe msamaha mimi nasema

looh hivi mimi ndiye nilisema hivyo??
Hivi umesahau siku ile unatoka Mbeya ulisema unatoka wapi? Na mkawa mnaongelea mambo ya graduation. Haitoshi kuna siku mkawa mnaongelea mambo ya umri. Nikabaki hiiiiiii![]()
Hivi umesahau siku ile unatoka Mbeya ulisema unatoka wapi? Na mkawa mnaongelea mambo ya graduation. Haitoshi kuna siku mkawa mnaongelea mambo ya umri. Nikabaki hiiiiiii![]()
Huna adabu, unataka kushindana na mama yako![]()
Wa4 wa kuzaa jumlisha 500 ninaowalea.
Watu mnang'ang'aniana uzee utadhani kuwa mzee dili...mxiiuu
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.looh hivi mimi ndiye nilisema hivyo??
Yani niliona siku hiyo; nikajigunia tu mmmh
Afadhali nawe ulionaYani niliona siku hiyo; nikajigunia tu mmmh



Watoto 500 unawalelea? Kivipi? Una kituo cha watoto yatimaWa4 wa kuzaa jumlisha 500 ninaowalea.
Mtcheeeew na robo. Naona yale maringo ya kutojibu messages yamehamia kwako



umeamua kunipakazia sioDogo hujambo?Watu mnang'ang'aniana uzee utadhani kuwa mzee dili...mxiiuu
Nashangaa hajanialika kwenye graduationAfadhali nawe uliona![]()
MarhabaDogo hujambo?