Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Kudadekiii 😂😂😂😂Hebu nitoe kwa hiyo list fasta,, usiniweke kwa kundi moja na vifaranga mimi..
Kudadekiii 😂😂😂😂Hebu nitoe kwa hiyo list fasta,, usiniweke kwa kundi moja na vifaranga mimi..
Emu wacheni kujimwambafai hapa 😂😂Nilikuwa namalizia form 4 mwaka 95
Kwakua u bado yai?Hebu nitoe kwa hiyo list fasta,, usiniweke kwa kundi moja na vifaranga mimi..



mimi nashangaa eti watu mwaka 95 wanaongelea habari za la 7 sijui form 4 wakati mie huo mwaka nilikuwa zangu namalizia phd
Kudadekiii![]()
Kwakua u bado yai?
Muulize atoto; ni mdogo angu wa piliEmu wacheni kujimwambafai hapa![]()
Toooba!!Anipige ban ya maisha au nitolewe kabisa JF?
Sikufitini, kwanini binti unataka kujizeesha? Unataka nini?




Thubutuuuuu!Nilikuwa namalizia form 4 mwaka 95
Siupendi ila ndio uhalisia.Unapenda ukubwa wewe![]()
Una watoto wangapi mpaka sasa?Siupendi ila ndio uhalisia.
Hivi umesahau siku ile unatoka Mbeya ulisema unatoka wapi? Na mkawa mnaongelea mambo ya graduation. Haitoshi kuna siku mkawa mnaongelea mambo ya umri. Nikabaki hiiiiiiimimi nashangaa eti watu mwaka 95 wanaongelea habari za la 7 sijui form 4 wakati mie huo mwaka nilikuwa zangu namalizia phd




Wa4 wa kuzaa jumlisha 500 ninaowalea.Una watoto wangapi mpaka sasa?
Lete birth certificate yako niweke na yangu hapaThubutuuuuu!
Hongera madame kumbe una PhDmimi nashangaa eti watu mwaka 95 wanaongelea habari za la 7 sijui form 4 wakati mie huo mwaka nilikuwa zangu namalizia phd
Huna adabu, unataka kushindana na mama yakoLete birth certificate yako niweke na yangu hapa


