Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Nishukuru na mimi kwa kukufunza adabu.Namshukuru Mungu kwa kunizuia kutoa hili tusi nililokuwa nataka nikupe
Nishukuru na mimi kwa kukufunza adabu.Namshukuru Mungu kwa kunizuia kutoa hili tusi nililokuwa nataka nikupe
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Niweke screenshot au?umeamua kunipakazia sio
Akitoa cheti cha kuzaliwa niambia ni tagLete birth certificate yako niweke na yangu hapa
Mie ni mlezi.Watoto 500 unawalelea? Kivipi? Una kituo cha watoto yatima
La Mbeya linanifanya niseme ukweliUnapuliza jani lipi mama?![]()
Nashangaa hajanialika kwenye graduation
Nishukuru na mimi kwa kukufunza adabu.
MHata mimi hajanialika eti,, ana tabia mbaya mno..
Haya.Mie sijawahi kudanganya eti
wanataka qualify pension kwa ulazimaWatu mnang'ang'aniana uzee utadhani kuwa mzee dili...mxiiuu
Hongera.La Mbeya linanifanya niseme ukweli
achana na ushahidiHatushindani; tunaweka facts
Ndio asante kwa kinyakyusa hiyo?Pyuuuu








Oohooooo!! Vitoto vya siku hizi![]()
Mwambie roho mbaya haijengi; na yule mwenzie aliyemaliza UdomUchoyo tu umemjaa![]()