and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,976
Kwa kweli nikisema nikuoe utateseka sana kama ndio vyakula kama hivi.
Kwanza sie hapa nyumbani kabla ya kula ugali tunavua mashati, ugali tunakata na panga, lazima ujue kupika mlenda n.k. hizo tambi kwetu ni mboga hio.







