Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza
Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupie
moto wake unakuwaje??
Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupia
amtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga)
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali