Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
Kwahio unanipangia cha kufanya na maamuzi humu?? Kwamba kwakua hao wamezushiwa wakakaa kimya ndio nawengine tufanye the same???? Hapo Umekwama sana !
 
Why should you kill him, when the nigga is just delivering the bitter truth.
[emoji117] Instead of embracing him for the good deed, he has done.
[emoji117]Some people have started to rabel National Anthem as a snitch or traitor [emoji855]

Sasa mkalimani wangu [mention]Tinsley [/mention] kahakiwa sasa itakuaje
 
Screenshot_20230825-111843.png
 
Back
Top Bottom