Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,847
- 37,543
Nipooo kipenzi majukumu tuSijamboooo shooo mbona ulitususa sana???
Nafurahi kukuona Karibu tena selfika binti sayuni tulikumiss sanaaa!!
Nipooo kipenzi majukumu tuSijamboooo shooo mbona ulitususa sana???
Nafurahi kukuona Karibu tena selfika binti sayuni tulikumiss sanaaa!!
National Anthem Niko nam sikiliza nasty c ft runtown🤒
👉 Hustlers main theme.
I remember what the teacher,
And all the snitch said,
I Will never make it, but iam doing it any way🤒🤒
View attachment 2728068
Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
Na mie sijasema hayo.. nimechukua ujumbe kama ulivyo nikaupitisha kama ulivyo nikawaambia huyo kirusi ndio anavuruga.. sikuongeza hata nukta.. vita imehamia kwangu 😅😅UKIMWI TENA NA FIGO
GONO JE
Ila siyo poa aisee haipendezi bana
Imekua too much humu!! Shida ni kuingilia yasiyokuhusu na kunikomalia kama nawe tumeshea bwana vile!! Hao wanawake zako chanzo inasemekana niyule bwana! Haya wewe umesema nawachafua Naomba uniambie nawachafuaje???Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
Mi leo natangaza amani, Huku nime ficha mapanga🤒😁😁.View attachment 2728069
🔥🔥🔥🔥🔥.. nakula ubongo wa fleva
Eeh yaani humu ndo maana mi Huwa napoteaMambo ni mengii sana yanii weee pitia post za nyuma usichoke utaelewa vizuri kwa kuanzia anzia hapa !! Hii ni post kutoka kwa National Anthem!! Akiniongelea mimi!!
Huenda jiwe Lili mfikia mlengwa😁🤒Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
Mi leo natangaza amani, Huku nime ficha mapanga🤒😁😁.
Tatizo wewe unaingilia yasiyokuhusu mbaya zaidi unanitaja kwa kujiamini kabisa as if una uhakika na unachokiongea!!!Na mie sijasema hayo.. nimechukua ujumbe kama ulivyo nikaupitisha kama ulivyo nikawaambia huyo kirusi ndio anavuruga.. sikuongeza hata nukta.. vita imehamia kwangu 😅😅
Na mie sijasema hayo.. nimechukua ujumbe kama ulivyo nikaupitisha kama ulivyo nikawaambia huyo kirusi ndio anavuruga.. sikuongeza hata nukta.. vita imehamia kwangu![]()
Shida Kuna watu wana Pigana vijembe, na iko wazi Wana julikana.Eeh yaani humu ndo maana mi Huwa napotea
Ile maana ya selfika imepotea ss hata hakupendezi tena
Acha tu niendelee kuanzia hapa besty, hizo txt za nyuma ni maelfu sitatoboaMambo ni mengii sana yanii weee pitia post za nyuma usichoke utaelewa vizuri kwa kuanzia anzia hapa !! Hii ni post kutoka kwa National Anthem!! Akiniongelea mimi!!








😂😂😂Mic u too malkia mrembo wa kizungu ulipotelea wapi
Nakuambia unaongozwa na hisi.. Sina mwanamke JF, sijawai kuwa na mwanamke JF, sijawai lala na mwanamke JF.. haitaaa itokee.. Una fail hapo hisia alafu sio sawaImekua too much humu!! Shida ni kuingilia yasiyokuhusu na kunikomalia kama nawe tumeshea bwana vile!! Hao wanawake zako chanzo inasemekana niyule bwana! Haya wewe umesema nawachafua Naomba uniambie nawachafuaje???
Ulikua unaniita mchawi kwa kukurupuka tu bila kutumia akili sasa ngoja nikuoneshe mchawi na wengine ni watu wazima humu watajia mchawi nani hapa!!
Wait hapohapooo Usitoke!!
Yaani nacheka 😂😂😂Sema [mention]National Anthem [/mention] na [mention]Antonnia [/mention] wanapendana bana![]()
Kwahio unanipangia cha kufanya na maamuzi humu?? Kwamba kwakua hao wamezushiwa wakakaa kimya ndio nawengine tufanye the same???? Hapo Umekwama sana !Tatizo unaongozwa sana na hisi kuliko uhalisia. Hoja ilikuwa kwanini watu imekuwa wanachafuana sana .. swala la kuzushiwa kila mtu kazushiwa na kuchafuliwa kwa namna mmoja ama nyingine.. Haya nani afanya hayo kwa watu ? Tume mpata Penseli 4.. na kuna mwingine huyo Rabi.. na pote huko wengi wamechafuliwa kwanini hawajapani sana kama wewe ? Maana kuna watu wameambiwa wana ukimwi wengine mafigo etc.. kwanini wamekaa kimya ila wewe ulie pewa sifa nzuri umekuwa msatari wa mbele kushambulia ?
😅😅😅😅 Nipo hapaTatizo wewe unaingilia yasiyokuhusu mbaya zaidi unanitaja kwa kujiamini kabisa as if una uhakika na unachokiongea!!!
Tulia hapo nikuoneshe mchawi