Poa,hiyo jibini unaweka mwanzo kwenye mkate wa pizza baada ya kupaka ile sauce ya nyanya kisha unatia nyama yako + mazaga mengine then jibini tena unaweka tena nyama +mazaga unamalizia na jibini juu inakuwa tayari kwa kuoka ,ukitumia cheddar cheese itabidi u pre bake mkate wako ukiwa umeupaka ile sauce ya nyanya kwasababu cheddar cheese haitakiwi kukaa kwenye moto muda mrefu inakuwa ngumu