wachaa nichekeee, kidampaaa umekujaaa tenaaa, mwenzako soko ninalooo sio humu tyuuh had uraianiiiii.
Umedoda weyeee unaetesekaa na mie, Una pisi ya kudate nayo weyeee, wee mwenyewe pisi uliyokosa hata wa kukupigia mluziiiii.
Mjombaaa maresh umebakiii na kusema "ptuuuuu"
Huwa si deal na vidampaa wasio jikubaliii, afu watu wazimaaaa, nataka kuchachuanaa na vigorii wenzanguuu.
weraaaaaaaa weraaaa.