Selfika na JF: Snap it. Show it

unajua kwann nachekaaa? Humu watu watakufa wamechokaa sanaaa.

Umechelewa kuja selfika,

Nishatua na mashangazi kaja yangu selfika
Tatizo nikitaka nisiingie mtanitafuta mpk nitaingia yani!!!

Emu muda wa kuselfika niselfike nikaendelee kuuza vijora
 
cha ajabu unateseka wee, kuliko huyo mzazi wangu.
Kwemaaaaaaa????
Unajipigia debe humu kwamba una soko na rangi unayo 🀣, umedoda hadi umeamua kujifanyia marketing kwa maneno, picha yenyewe huweki kazi kupiga domo tu, hakuna mtu wa ku flirt na wewe humu.
Tuna flirt na pisi zinazojielewa, sio wewe Skin and Bones, huna kila kitu, Ptuuuu!!!
 

Sawa babu
 

khaaaaaa!!!
cocastic kuna msg yako huku udugu
 
Umakini unahitajika sana hapo ukizubaa wamekulamba wallet utakosa hadi nauli ya kurudi kwako bonyokwa
Kwa kweli Mjukuu, nitakuwa makini maana kuna mmoja alinipelekaga Kitambaa cheupe wakati fulani.

Ndiyo kwa mara ya kwanza nakutana na Wajukuu wanakunywa zile Wine za 180,000. Bila kuwa na huruma na Babu yao walikunywa Chupa 3 plus Mbuzi nusu

Siku ile Babu yenu nililazimika kutembea kwa Miguu kurudi Kijijini maana wale Wajukuu walihakikisha Babu yao sibaki hata na mia mbovu πŸ™Œ
 

Hao kausha damu ulikutana nao babuuu!!! Wanatembea na spray za kujipulizia wakiona wameanza kulewa tyuuu wanajipuliza pombe zinakata kazi inaanza tena


Usiombe uwakute wanakunywa local beer ndo utapoteanaaaaa!!! Wapo km komba
 
nimechekaaa sanaa, ngoja moto ukuwakiee utajua hujuii.
 
Kwa kweli wale Wajukuu walipanga wanikomeshe Babu yao

Maana kuna mmoja nilimsikia anasema eti Ujana wake ale na nani Uzee wake ale na sisi wacha tumkomeshe.

Wale watu hawana huruma kabisa kwa Wazee πŸ€ͺπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…