Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Inaonekana humu vocha ni tatizo sana eeh ?Hakujuiii kama weee ndo mrs mavouchaaa kwenye 1 2 na 3 zoutree!!!😊😊
Inaonekana humu vocha ni tatizo sana eeh ?Hakujuiii kama weee ndo mrs mavouchaaa kwenye 1 2 na 3 zoutree!!!😊😊
Nilipata dawa ya alergy ya nyama buana sikuhizi kam kauwaaa😋😋!!Mimi nyama sipendi kama imepikwa vibaya
Ila ikikolea viungo
Tangawizi na kitunguu swaumu Cha kutosha kabla haijapikwa
Hapo hata ukichemsha tu inannoha ..hata Kila siku nakula
Ni vile tu hela sina.
Sidhani kama ni tatizoInaonekana humu vocha ni tatizo sana eeh ?
Weraaaaweraaaaaaa👏👏👏👏👏👏👏👏!Soko letu halijawahi kuyumba sisi km dollar tunayumbisha shillings (black mamba) tunavyotaka yani!!! Muda gani ishuke ni sisi tunaamua
Emu tujipigie makofi tafwazaliiii![]()
Ma snitch ka wewe nangoa wigiMpambe kazini!😏
Nakubali Kaka, ila ndo nini hiki huko daslam 😁🤣View attachment 2726904
Green thai curry with fried rice and for desert its Louisa Cake
We kweli?Nilipata dawa ya alergy ya nyama buana sikuhizi kam kauwaaa😋😋!!
Afu dawa ya kiasili tu ya mitishamba!!
Wahaya kwa traditional medicine wapo vizuri sana!!
Nakuzidi wewe???? Umesahau Pua na komwe 😏😏😏😏😏!!Ma snitch ka wewe nangoa wigi
Hapa Labda iku okoe hiyo pua🤒🙃
Ile haikunisaidia afu ilikua ya bei kweli hii ya mitishamba tu ndio imenisaidia afu ya buree tu mwenyewe Ndio niliamua kulipa fadhila!We kweli?
Na Mimi nataka
Vipi Ile ya Ngariba 1 aliyokuahidi ilisaidia?
Sema unatakiwa uitumie majani yakiwa bado mabichi hayajakauka unaitumia na nyama!!We kweli?
Na Mimi nataka
Vipi Ile ya Ngariba 1 aliyokuahidi ilisaidia?
Mzazi wako nae anasema mbele ya rafiki zake huku akijivunia nina kijana., kijana mwenyewe yupo LG.




cha ajabu unateseka wee, kuliko huyo mzazi wangu.Nakuaminia Jeshi la mtu mmoja!!![]()
Asantreeeeeeeeee!!!





na sihitajiii usaidiziii, we mwenyewee unaelewa shouzzz angu, nikianzaa kukiwasha hakuna anayeweza kuzimaa.



kidampaa namtesa sana, afu mjomba maresh anayegoma kuzeeka. Hajistukiiii.Hakujuiii kama weee ndo mrs mavouchaaa kwenye 1 2 na 3 zoutree!!!![]()




ongezaa sautiiiiiii.



uduguuu wetu Cute Wife anasema babuu, sasa nilipo unlock code, kumbe sio babuu, ni kijana wa makamo, ila uduguuu wetu ana muita babu kwa 7bu zake binafsi.



unaambiwa nae ana mpdf, wacha watu wavurugwe wautue humu ndaniii.Una miaka mingapi kwanza?? 😂😂😂 Kwanza wee hupendi uzee wewe!😊Boss lady kwani mimi sina sifa za kua babu??
Tofauti yako na babu muhusika, yeye anafanya wazi wazi, wewe unafanya kwa kujifichaa.Boss lady kwani mimi sina sifa za kua babu??




wote mna njegeka linalofanana.Boss lady nina miaka 56 bado minne tu nistaafu utumishi wa umma hata huyo babu yako Grahams namzidi umri nina sifa zote za kuitwa babu labda kama kuna vigezo vingineUna miaka mingapi kwanza?? 😂😂😂 Kwanza wee hupendi uzee wewe!😊
We mlongo tunafanya nini hicho mafichoni?🤣🤣Tofauti yako na babu muhusika, yeye anafanya wazi wazi, wewe unafanya kwa kujifichaa.
wote mna njegeka linalofanana.