Kidari cha kuku,kitunguu maji,garlic&ginger paste ,hoho na karoti unaweza kuongeza mboga mboga zingine,pia kuna sauce yake ya kulia ambayo unablend mayonnaise,juice ya chungwa,pili pili manga ,tangawizi,garlic vya ya unga,ketchup vipimo utakadiria kulingana na wingi wa sauce yako ila mayonnaise ndo ingredient kuu ya sauce hiyo