myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,061
SafiiiGood morningView attachment 2726917
SafiiiGood morningView attachment 2726917
As long as wa kunibeba upo nikilewa basi tabu hakuna my loveNakubebea wine ulewe![]()
Aisee..Sema unatakiwa uitumie majani yakiwa bado mabichi hayajakauka unaitumia na nyama!!
Mimi nilikua nikila Mwili wotee unavimbaa + kuwashaa + tumbo linaumaaa balaaa ilikua ni kujikuna tu ukijikuna ndio vinazidi kubimba!!
Ona mfano wa mkono hio siku nilikua nimeonja vipande viwili tu!! Viwili
Hapa ilikua baada ya kutumia dawa ya Ngariba nikasema ngoja nitest alooooo🙌🙌🙌🙌!!
Iko siku utajuzwa hapa kweupee, hayo unayofanyaga mafichoni.We mlongo tunafanya nini hicho mafichoni?![]()






Kumbe Ndiomana hawajielewi hivi wanayumbishwa kama pia!uduguuu wetu Cute Wife anasema babuu, sasa nilipo unlock code, kumbe sio babuu, ni kijana wa makamo, ila uduguuu wetu ana muita babu kwa 7bu zake binafsi.
unaambiwa nae ana mpdf, wacha watu wavurugwe wautue humu ndaniii.
Mbna hatariiiii
Acha tu jirani afu si kwamba nilikua na hio aleg Tangu Mwanzo hapana nilikua nakula vizuri tu!Aisee..
Kumbe Ndiomana hawajielewi hivi !!
Nasubiria huo Mpfd mieeee!! ukiwekwa msisahau kunitag shougaaangu!!




hatariii tupuu humu ndaniiiii, Selfika na manjegeka yakee, mbna itakua wazi utaitwa kujioneaa, toka lini umbea wana nyimanaaa.




Weee sema kweli 😁😁!!Boss lady nina miaka 56 bado minne tu nistaafu utumishi wa umma hata huyo babu yako Grahams namzidi umri nina sifa zote za kuitwa babu labda kama kuna vigezo vingine
Kwakweli ubuyu sio wa kunyimana kabesaa!!hatariii tupuu humu ndaniiiii, Selfika na manjegeka yakee, mbna itakua wazi utaitwa kujioneaa, toka lini umbea wana nyimanaaa.
![]()
😄😄😄😂😂😁😁!!Tofauti yako na babu muhusika, yeye anafanya wazi wazi, wewe unafanya kwa kujifichaa.
wote mna njegeka linalofanana.
Mbona Mjomba maresh🤣🤣🤣🤣🤣!na sihitajiii usaidiziii, we mwenyewee unaelewa shouzzz angu, nikianzaa kukiwasha hakuna anayeweza kuzimaa.
kidampaa namtesa sana, afu mjomba maresh anayegoma kuzeeka. Hajistukiiii.
Uwiiiiiiih
Pole jirani, mwili wakati mwingine hukataa kitu.Acha tu jirani afu si kwamba nilikua na hio aleg Tangu Mwanzo hapana nilikua nakula vizuri tu!
Mwaka jana tu ndio nikashangaa nikila inakua hivo!
Yeah nashukuru Saivi nipo vyedii jirani! Dawa za mitishamba nazo zinatibu asee! Kama hio walionipa walisema inatibu magonjwa mengi sana!Pole jirani, mwili wakati mwingine hukataa kitu.
Boss lafy usitoke hapa napita live bila chenga
Kweli kabisa, ukipata anaejua zina uhakika.Yeah nashukuru Saivi nipo vyedii jirani! Dawa za mitishamba nazo zinatibu asee! Kama hio walionipa walisema inatibu magonjwa mengi sana!
Kiruuuu, sio tabu zangu.Nakuzidi wewe???? Umesahau Pua na komwe 😏😏😏😏😏!!
Boss lafy hebu muone huyu shouzzy wako anachosema hapa🤣🤣Iko siku utajuzwa hapa kweupee, hayo unayofanyaga mafichoni.
Hata usiwe na harakaa, tuliaa tuliii![]()
Sitoki hapaa mr vocha pita kama ulivoooo😊😊Boss lafy usitoke hapa napita live bila chenga
Yeyote mwenye hamu ya kumjua mjep live akae mkao wa kula napita kama upepo🤣
Uki selfika, nakunulia zile air pods za jbl- tws 😂🤒. 300kBoss lafy usitoke hapa napita live bila chenga
Yeyote mwenye hamu ya kumjua mjep live akae mkao wa kula napita kama upepo🤣