Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema unatakiwa uitumie majani yakiwa bado mabichi hayajakauka unaitumia na nyama!!

Mimi nilikua nikila Mwili wotee unavimbaa + kuwashaa + tumbo linaumaaa balaaa ilikua ni kujikuna tu ukijikuna ndio vinazidi kubimba!!
Ona mfano wa mkono hio siku nilikua nimeonja vipande viwili tu!! Viwili
Hapa ilikua baada ya kutumia dawa ya Ngariba nikasema ngoja nitest alooooo🙌🙌🙌🙌!!
Aisee..
 
uduguuu wetu Cute Wife anasema babuu, sasa nilipo unlock code, kumbe sio babuu, ni kijana wa makamo, ila uduguuu wetu ana muita babu kwa 7bu zake binafsi.

unaambiwa nae ana mpdf, wacha watu wavurugwe wautue humu ndaniii.
Mbna hatariiiii
Kumbe Ndiomana hawajielewi hivi wanayumbishwa kama pia!
Nasubiria huo Mpfd mieeee!! ukiwekwa msisahau kunitag shougaaangu!!
 
Boss lady nina miaka 56 bado minne tu nistaafu utumishi wa umma hata huyo babu yako Grahams namzidi umri nina sifa zote za kuitwa babu labda kama kuna vigezo vingine
Weee sema kweli 😁😁!!

Kigezo cha ziada mababu wana busara na hekima sana!!
Bila shaka nawee wafiti kabesa kuitwa babuu kuanzia leo ntakuita babuu Mjep!!😊😊!

Unapendelea babuu au granpa??😄
 
na sihitajiii usaidiziii, we mwenyewee unaelewa shouzzz angu, nikianzaa kukiwasha hakuna anayeweza kuzimaa.

kidampaa namtesa sana, afu mjomba maresh anayegoma kuzeeka. Hajistukiiii.

Uwiiiiiiih
Mbona Mjomba maresh🤣🤣🤣🤣🤣!
Mwenyewe anajiona kijana wakati mtu mzima kisheti!! Kwanza hata akikaa na granpa ye anaonekana kizeee zaidi au ndio kudumaa kwenyewe anakosemea Cute Wife khakhakhaaaa!!
 
Iko siku utajuzwa hapa kweupee, hayo unayofanyaga mafichoni.

Hata usiwe na harakaa, tuliaa tuliii
Boss lafy hebu muone huyu shouzzy wako anachosema hapa🤣🤣
Eti kuna mambo mimj na wewe tunafanyaga mafichoni kweli?🏃🏃
 
Back
Top Bottom