πππHebu tuliaπ π π π Sawa subiri mkeka wako sasa.. bubike unapafahamu vizuri..? Sasa hivi nataka kuhamia Itilima.. nimepata kamchumba huko ka kiharabu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu niwachee ebooh!!A [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na siku ya mabomu nusu tuvunje milonjo aiseee!! Jirani yangu alibeba paka akajua mtoto, kafika banana anashangaa nyau nyau alizimia kwanza
Nitumie picha nione mwenyeweππ€£Flat screen hii ππ
Acha ni ringe kwanza@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako, [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na na shem zenu mjinii.
Alikutana na wajanjaa alivuliwa penee kadhaaa,Duh!! Me mbona siwezi utapeli?? Emu nifundishe nimtapeli babu migambuti kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiomana maokoto mazuri! Mikorogo inatoka Sana Sasa hivi.
Embu weka picha ya baadhi vijora hapa mchuchu macho yaone.
π π π π ila napapenda sana.. sasa hivi nakuja kukaaa zaidi ya 6 miezi.. namuachia mchumba miezi minne tu ya kujifunguaa.. ndio naondokaπππHebu tulia
Mkeka umesha expire huoπ
Kheeeeh mama sinyarii, tafadhari hivyo vipodozi ndo ulotaka umpe mke wa waziri mkuu??Bèta sol na maji ya carolite hutaki? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sabuni ya jaribu ipo boss, kipako kiwe pambe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann hukunstua??
Kumbe hata hajakupaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante shem[emoji8]
Ila nasubiri zawadi yangu ya vocha ujue[emoji12]
Au coca kakurubuni na maneno ukampa??
Utafanya ivo ili bi Mkubwa apendeze nyumbani.Kesho nitakutumia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππSawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahizπ π π π ila napapenda sana.. sasa hivi nakuja kukaaa zaidi ya 6 miezi.. namuachia mchumba miezi minne tu ya kujifunguaa.. ndio naondoka
Kwakweli mjitahid
ππ€£π€£πA [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na siku ya mabomu nusu tuvunje milonjo aiseee!! Jirani yangu alibeba paka akajua mtoto, kafika banana anashangaa nyau nyau alizimia kwanza
Oyaa National Anthem ona hi manzi Ime Anza kuni igaa ninapo kaaπ€£ππππSawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahiz
Unatafuta kuachikaaa au? Mzigo unifikie km utakavyo upataa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha ni ringe kwanza
Nina shem wa uhakika
Hapa nasubiri mzigo wa vocha na sikugawii[emoji28][emoji28]
Si mwenyewe uliyaona yale maokoto ya jana[emoji12]
Mungu anipe nini tena?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuuh!!Nilikua na shem ako ungetuletea kwere [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
@Mjep njoo huku uone unapewa maua yako, [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu na na shem zenu mjinii.
Michezo yako uliyoianzaga toka ukiwa form two bado hujaacha tu?Nitumie picha nione mwenyeweππ€£
π π π π sawa .. ujue mie nimekulia Bugweto.. unapajua.. nimesoma old shy nimeolea "Ng'waji....." haya sawa acha nilale kesho nayo sikuπππSawa unanivuta niseme wala Niko zngu nanjilinji sahiz