YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
We mke mwenza hebu nambie nini mbaya?


mke mwenza ulifichwa wapi?? Hakuna lolote la kutisha ni shilawadu tu walikua wanatupa wanaume na magonjwa sugu ili kufurahisha nafsi zao
We mke mwenza hebu nambie nini mbaya?


mke mwenza ulifichwa wapi?? Amen brotherBig bro💪, more love less ego 🤒
Niunge tela ili Iwe canter au😀Unga tela
Pamoja mzee mwenzio nipo hapa😀😁Amen brother
Unajua Wazee huwa ni watu wa Imani siku zote 🥂
🥰🥰🥰😍😍😍 nikamtolee mahali.. mwanamke kujisitiri.. huyu anaongeza nguvu za ubaba kabisa
Hahaha..................salute Mkuu, hata hivyo huyo ni last born wangu Mkuu 🤪Babu yao
Umetisha sana babu wa mchongo



usisahu sela zetu wala usisl snitch 😅Dah sijui ni solve Bila 4 figure 🤣😂, au 🤣🤣😂😂
Hahaha...............mwenzio nimeanza kuandaa mashamba mapema, hapa nasubiria mvua tu nianze kupanda 🤪Pamoja mzee mwenzio nipo hapa😀😁
Unataka naye aanze kutumia Pepsi kushusha presha km Mwachi![]()



usinichekeshee mie, khaaahUmenitajia minyama hadi udenda umenitoka, unajua Babu yako ninavyopenda nyama nyingi😋Babuuuu mlezi wa wajukuu
Unajipakulia minyama kwa raha zako!!
Ila picha ni kwa udhamini wa Google 😁🥰🥰🥰😍😍😍 nikamtolee mahali.. mwanamke kujisitiri.. huyu anaongeza nguvu za ubaba kabisa
babu umetisha hapo totoz hawachomoi
kikubwa yupo duniani 😅😅😅Ila picha ni kwa udhamini wa Google 😁
dah! mdada ukifika nyumbani hata kama umechoka uchovu unaisha wenyewe tu 😅😅Anamfikia huyu
duh, mahari shingapiAnamfikia huyu
usinichekeshee mie, khaaah




Msahafu 😌duh, mahari shingapi