Selfika na JF: Snap it. Show it


Me nataka kumlipua mtu tulia, afu usipanic bana mbona kawaida kwani wanakutoa roho?? Afu hayo mambo yenu mbona hayaishagi emu Penseli aje jamani

Kukazwa kwa mwanamke kawaida anayeumia apeleke wa kwake Mxxiewwww
 
Saint Anne come this way unaitwaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€ πŸ€ πŸ€ !! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€ πŸ€ !!
 
Hahahhaha weka hapa tuone wote tafadhali. Maana kila mtu ana play victim humu ndaniπŸ˜‚
nibembelezeni niweke 🀣🀣🀣 msipo nibembeleza basi nabaki nayoo πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. mie naweka mzigo kama ulivyo mwingine ananimbia natunga how ? huo.mkeka uwasaidie usikae unacheka na mtu hapa badae anaenda kukuanzishia mikasa
 
Hhahahahah boss, weka tafadhali watu watoe yao ya moyoni.
 
Huyo mwanamke mwenzenu aache uchawi banaa.. Mie humu sina site na mambo za watu.. Nashusha mkeka sawa sawa na informer wanavyonipansiongezi hata nukta.. πŸ˜…
Kwahiyo Mjomba ni mwanamke mmoja ni mchawi,shidayake ni hasa tujue,?
sasa mie naleta mkeka watu wanageuza madaa.. basi acha nibaki nayo.. maana watu wana shindwa tafsiri wanaanzisha mengine .. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… bye banaaaaa.. mikeka nitabaki nayo
Mjomba unatuchanganya nipe mm nikusaidie kuweka nitawaita mmoja mmoja na ulinz binafs utakuwepo file langu nitampa mtu anisomee nisikimbie naloπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…