Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa wapi nilipitwa Jamani[emoji23][emoji23]

Pole sana tulibebeshwa mabwana na uke wenza juu dadeq, nimeambiwa nimemtoa Lenie kwa bwana ake Jack khaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nimecheka hivi nimefikia hatua ya kuharibu mapenzi ya watu kumbe?? Na hamnikanyi wifi yenu!!!!
 
Pole sana tulibebeshwa mabwana na uke wenza juu dadeq, nimeambiwa nimemtoa Lenie kwa bwana ake Jack khaaaaaa!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaani nimecheka hivi nimefikia hatua ya kuharibu mapenzi ya watu kumbe?? Na hamnikanyi wifi yenu!!!!
Mm nilipitwa wachumbazang hata siwajui 😂😂😂😂 itakuwa list ilopita wakat nimelala mkemwenzangu ni nani sasa tuyajenge😂😂
 
Back
Top Bottom