Huwa napata tabu kupata earpods nzuri ambazo ziko kwenye bajeti yangu nyingi huwa napata feki kwa hiyo ulivyozisifia nikawa interested ndo sababu nikauliza bei nilihisi zitakua ghali kidogoI was given as a gift tu mkuu, zilikuwa jbl tune tws.
👉Nili sikia 200+, Nika Baki na earphone za kawaidaa.
Ume POA Sana, ume kuwa Kama barakah da prince😁Mbona sijazeeka na ninapitwa na hizi updates daaahhh. Kwanza Hapa nimefika muda huu kwa bahati tu yaani saa yoyote nalala mkuu, utanipa review tu mkuu
Ahhh Kaka itawezekanaje nife na sijawahi kuwapigia ndugu zangu kwa different time zones namna hii 😁😁. Ngoja nitafute hata scholarship aseeKuna difference ya 6 hrs huku niliko na bongo chief
Unaweza ukadhani tuko sawa kumbe kwangu ni mchana na ndiyo ilivyo kwa member wengi hapa jf
Jbl tune tws Ina laki 3 we una ona ndogo??,Huwa napata tabu kupata earpods nzuri ambazo ziko kwenye bajeti yangu nyingi huwa napata feki kwa hiyo ulivyozisifia nikawa interested ndo sababu nikauliza bei nilihisi zitakua ghali kidogo
Nina kibanda changu cha vocha tz chief kuna mtu ananisaidia kuuza kwa hiyo huwa naomba vocha kadhaa kwa ajili ya kurudisha kwa jamii😂😁😂😂, Mkuu huko uliko Wana access ya kuuza vocha, service ya tz🤔
Me ndio nataka awalete pap bana hii crew wapo Pipo hizi hapa na walisema hivi na mabwana zenu hawa hapa afu yeye apotee atuachie kazi ma MC tuchachue shuhuli
Kuna Mwachiluwi kutoa maneno huku kupeleka huku ( hii sio kabisa ) ...hapa ni stress free zone tusichoshane... nakuja na mwingine.. natembea ila tutafika tuu.. tunataka tukae kama zamani... hizi biashara za kuchochea moto sio kabisaKtk ile crew kuna pipo ni papai,
Nyie sipati picha nayeye eti akawa anajibaraguzaa, mbna ataikimbia JF, nitashuka nae mzima mzima.
Woiiiiiiih
Me ndio nataka awalete pap bana hii crew wapo Pipo hizi hapa na walisema hivi na mabwana zenu hawa hapa afu yeye apotee atuachie kazi ma MC tuchachue shuhuli
Bro hunitakii mema 😁 ungenitafutia hata msanii anaeweza kushtuka kiasi kama kibaUme POA Sana, ume kuwa Kama barakah da prince😁
Hapana chief sijaona ndogo nimedema ghali kidogo mimi mwenyewe siwezi kumudu kununua iko nje ya bajeti yanguJbl tune tws Ina laki 3 we una ona ndogo??,
Safi mkuu, na uzidi kubarikiwa.Nina kibanda changu cha vocha tz chief kuna mtu ananisaidia kuuza kwa hiyo huwa naomba vocha kadhaa kwa ajili ya kurudisha kwa jamii
Kuna watu huwa wanauhitaji kweli humu na dua zao zinapokelewa na mola mambo yanaenda poa mkuu
hujumuiki kuisafiaha selfika 🤣.. unaniachia dokta mwenyewe.. 😅♣️I was given as a gift tu mkuu, zilikuwa jbl tune tws.
👉Nili sikia 200+, Nika Baki na earphone za kawaidaa.
Na mie nataka earpods mchumbaaa,Huwa napata tabu kupata earpods nzuri ambazo ziko kwenye bajeti yangu nyingi huwa napata feki kwa hiyo ulivyozisifia nikawa interested ndo sababu nikauliza bei nilihisi zitakua ghali kidogo
Ufanye hivyo ni muhimu sana katika kukuza ustawi na kuwa karibu na MunguSafi mkuu, na uzidi kubarikiwa.
👉Siku Niki okota dhahabu Kama ya mzee wa sisu, Nita watumia pia😁
Sio moja yatakuwa yote mapapai sio bure wanaume mkae mjadili wanaume wenzenu wanavyokaza mademu!!! Nyie kibolo nangai hakifanyi kazi??
Ndiomana kila kona tupo nao sambamba kumbe nao wanawataka hao mabwana??! Khaaaaa!!!
Mbona barakah kipaji anacho😁, sema team Zime muua tu??Bro hunitakii mema 😁 ungenitafutia hata msanii anaeweza kushtuka kiasi kama kiba
Utapata mchumba usijaliNa mie nataka earpods mchumbaaa,
Mchumba ni wapiii hukooo? Mbna hujanambiaaa?Kuna difference ya 6 hrs huku niliko na bongo chief
Unaweza ukadhani tuko sawa kumbe kwangu ni mchana na ndiyo ilivyo kwa member wengi hapa jf
Ngoja niki okota, beside mtaani tuna ishi nao💪Ufanye hivyo ni muhimu sana katika kukuza ustawi na kuwa karibu na Mungu
Maisha yetu yanategemeana sana
Mwenye uhitaji akipata akikuombea na mambo yako hunyooka pia
Pambana mkuu nakuombea🤣Ahhh Kaka itawezekanaje nife na sijawahi kuwapigia ndugu zangu kwa different time zones namna hii 😁😁. Ngoja nitafute hata scholarship asee
Shida Sina evidence chief😂😁🤒, and una jua rumours aren't good.hujumuiki kuisafiaha selfika 🤣.. unaniachia dokta mwenyewe.. 😅♣️