Ile message ya muamala wa jezi kumbe imekereketa watu
Ingekuwa tunadate ningeianika hapa?
Nyie
Msije sababisha watu tukakosa msaada humu.
Mjep amekuwa ndugu yangu
Siyo jezi tu!tangu kipindi Nimepata msiba wa baba yangu alinisapoti sana.
Bado ananisapoti mno, siwezi kuhesabu.
Mjep usiwasikilize matajiri hao
Jezi ninayo sina?