Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta
Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia
Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma ππ
Wanapenda zile hekaheka itakuwa, kuna mmoja juzi kavumilia kashindwa kaamua kusema, βHiyo amani mliyonayo mashabiki hatupendi, sio km hatuwaoni ni vile tunajificha kwenye kona tunawacheckβ Aiseee nilicheka
Acha wivu kama huna wakupiga naye story wewe nenda tu ukaselfike mwenyewe hadi ulale mwone kila saa unalike tu story za wenzako , siumwite upendaye na mashem mchart
Mimi siogopi mtu ila naheshimu mtu atakama yeye akinidharau mimi nitamuheshimu ila akivuka sana mipaka yangu ambayo nimeiweka lazima nimuonye in good way