Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Unaenda wapi eti dada
Hebu nipe muhtasari kwanza wa yanayojiri hapa kabla sijaingia cha kike
Marahabaaa!
Hahah, ugali ule lazima ukuwe na kisu na uma...
Una utani na ndugu zangu eeh?
Oya punguzeni ngenga tupieni mapicha basi
Hata usipogeuka, binafsi nimekubali.
Ni jambo.Haujambo??
Yaani mecheka mimiii jamani![]()
Nimempata tayari, yupo KisumuImetoshaaa akiii![]()




we baba we hizi tangawizi zangu ndiyo unataka uzione kweli??
Anza wewe hapo ulipo...tupia hata kidole
we baba we hizi tangawizi zangu ndiyo unataka uzione kweli??