Selfika na JF: Snap it. Show it

Sichochei mr vouchaaaa kama umependana na mtu komaeni na Jambo lenu sio kujadili watruuuuu wasiowahuu ili muonekane wasafii😏😏😏🤣🤣🤣🤣!
Haswaa Yani wew kunywa tu Pepsi 🤣🤣🤣umenisuuza roho
 
Masikio yao itakuwa mpawa tupu🤣🤣🤣🤣
Akiyanani watu mna vichambo vya jumla jumla🤣🤣🤣🤣

Yule mzungu ponea yake ni kiswahili hajui
Vichambo vya kizungu havinogi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
 
🤣🤣🤣🤣🤣. Huyo mtu kama yupo hapa anajuta
 
Hizi stories zinazotungwa humu za kusisimua
Tukipeleka bongo movie ni tuna hela ndefu

Watungaji wamekwiva sana kwenye mambo ya flash back
Flash forward
Wapo makini sana.
Mie wananchekesha wanavotamani kunipangia cha kuandika cha kukoment Cha kufanya humuu hahaa!!
Nitume picha za ajabu mimi waweweseke waooo?? Nyieee🤣🤣🤣
Wanataka kunifundisha heshimaaa bwahahahahahahahahah!!! Nipo nimekaa paleeee 👉👉👉!!
 
Hawajui wewe ndo Mkemia wetu Mkuu

Janjajanja arts watakuambia nini Madam,🤣🤣🤣🤣

Kama mtu hajui kumix hata chemicals usibishane naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…