Kwakweli midango Yao Haing'ai nyota nyeusi
Kama sufuria la shughuli wanzunguka pm za watu kuchafua wenzao
Jamni eeh mjini nyota
Pa hovyo,Mm naichungulia sikuhiz siipendi Kam mwanzo watu wanaroho mbaya sana
Unajua hili swala Ina bidi tuwa alike cia,mossad na kgb.
I'll wathibitishe Kama ni kweli, au ni histrionic personality disorder Ime fika katika kiwango Cha juu
Unaogopa maneno Madam?Selfika nilikuwa naipenda, baada tu ya kusikia maneno mabaya kunihusu, nakajiepusha nayo kistaili
Taratibu huyo ana histrionic personality disorder
Nyie Hivi hakuna reaction ya β₯οΈ na π€£ ya pamoja??π€£π€£π€£π€£!!Yani watu ambao nyota Zao za kaniki amani hawana yani wanatamani mtu uharibikiwe tu
We nichachue tu, mi niko nakula ugali π€£ππPunguza miwasho nitakuchachua ss hivi, me niko serious hapa
Pole boss wanguNipo mkuu dunia inanipeleka mbio(ubusy) habari ya huko ulipo?
MnywaniiT 1990 ELY samalekooo ππ! Nimeona kivuli chakoo mkuuu karibu sana Selfika!!
Wigelekelo Tinsley Rabbitus spidernyoka Kapachino Strawbella Hustler one nawasalimu kwajina la selfika wapendwaaa nimewamiso miee kitrambo sana !
π€£ππππ, Kunipiga huwezi- kunikamata huwezi π€£πππ.Wewe bonge nyanya niache huchelewi kususa tunakujua
Endelea
Sio bonge matikitiπ€£πππWewe bonge nyanya niache huchelewi kususa tunakujua
Endelea
Popote ulipo kunywa kinywajii bili Kwangu pulllllllliiiiiiiiizzzzz!! βΊοΈβΊοΈβΊοΈπ!!Unaogopa maneno Madam?
Hata usipochangia mbona utasemwa tu
Maneno yanakutisha?
Binafsi ntaacha kuchangia nikiamua mwenyewe ila si kwa sababu ya maneno ya wapumbavu wachache.
mchuchu miss youYani watu ambao nyota Zao za kaniki amani hawana yani wanatamani mtu uharibikiwe tu
id inaitwaje niambie inaweza kua ya penseli
Histrionic personality disorder π€£ππ, una nijua π€£ππWewe bonge nyanya niache huchelewi kususa tunakujua
Endelea
Yaani wote tu Dunia inatupeleka mbio mkuu, kuhusu selfie kweli nilipanga kushare ila baada ya kuona hali ya hewa imechafuka nikatoka speed kuzifungia kabatiniππ watu siyo wastaarabuPole boss wangu
Na wewe mwenye taasis zake nyeti yanakupeleka? Acha utani basiπ
Huku kwema kabisa
Nilitamani nikuombe kaselfie sasa naona kuna mndazi ameshachafua hali ya hewa hapa
Ongeza sautiiiii uduguuuuuu unasemaaaa????
Hajui mkuu penseli ana I'd 50 π€£ππid inaitwaje niambie inaweza kua ya penseliπ
Miss u too jamnimchuchu miss you
Dah π€£ππNasemaje BWANA KAFIKA nitawaachia nikitaka