Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Hilo ndo la muhimu💪, siku nikianza kutembea kwa miguu Nita kuja🤒Sikia acha nipambane uku
Mie wa kuogopa kuanzishiwa nyuzi humuuu?? Bwahahahahahahahahah🤠🤠🤠😁😁!Una zingua, Niki anzisha uzi kuwa Antonnia una sagana - itakuwa fresh sio🙄🤒
Yaani wanataka wamchukue Kantri, masikini[emoji22]?
Kwa wajinga wenye akili kisoda 🤠🤠🤠🤣!!Uongo unaeza kugeuka ukweli🤒
Mie wa kuogopa kuanzishiwa nyuzi humuuu?? Bwahahahahahahahahah🤠🤠🤠😁😁!
Mie kama sisagani hattraaa hainiumiiiii nawewe utakua mnene kweli sio kwa panic za haraka hizoo🤠🤠🤠🤣🤣!!
Sumbu susmbuKwa wajinga wenye akili kisoda 🤠🤠🤠🤣!!
Na bado nitakuchongea na uongo
🤣🤣🤣😁😁😁😁Yaani brother siku zote tunachatika bila kunitambulisha my wiiiiiii😬😁😁😁
Bora ni Enjoy (Mmmmmh)
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (Mmmh khoo khoo khoo khoo)
Umesema my wiii ni mama kijacho au sijakuelewa vizuri🤨😁😁Hebu achana na Yule mwehu, Basi😂🤣🤣
Uqy be posai kelegUmesema my wiii ni mama kijacho au sijakuelewa vizuri🤨😁😁
Mtu kama anakufahamuu vizuriiii walaaa hata hadhtuki na Habari zao za kimbeaaa!Ninachompendea mzungu yule hasikilizagi udaku [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kupendaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sawa bana enjoy
Mtu kama anakufahamuu vuzuriiii walaaa hata hadhtuki na Habari zao za kimbeaaa!
Kama kupendaaa
Bora nimpende mama yangu (Mmmh)
Kama kupendwaa mimii
Nitajipenda peke yangu (Ooooh)
Kilichoniponza ufalaaa
Kujiona simba kumbe swalaaa
Kazama kwenye penzi uchwalaaa
Badala ya kusaka miamalaaa
Ail yoooo oh
Toka ni date pesa (Enhee)
Sa napendeza (Enhee)
Na tena naenjoy (Enhee)
Na wanangu ma homeboy (Enhee)
Ooooh account inasoma (Enhee)
Na kamwili kananona (Enhee)
We mwenyewe si unaona yani (Enhee)
Ai nasema boraaaa
Lazima nifoke maana unanichanganya tu😊Mbona km UNANIFOKEA babe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imekuwaje tena umepata degedege😁😁Uqy be posai keleg
Namaste mama ji 😁😁Imekuwaje tena umepata degedege😁😁