Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Na bado nitakuchongea na uongoItakuwa wewe ndio uliyemwambia mana namalizia kufuta simu inaita napewa vidonge vyangu![]()
Na bado nitakuchongea na uongoItakuwa wewe ndio uliyemwambia mana namalizia kufuta simu inaita napewa vidonge vyangu![]()
Huyo Ni shogaa, so unapo muita sijui una maana gani🙄🤒Ngoja ni tag BICHWA KOMWE -
NdioMashangazi?
Jamanii huyu my wiii hii sura mbona kama yangu🙆🏾♀️😁😁😁😁😁Weee unapenda kutania wenzio kumbe weee unapanic haraka ehhh!!🤣🤣🤣
Why uni husishe na mashoga🙄🤒Weee unapenda kutania wenzio kumbe weee unapanic haraka ehhh!!🤣🤣🤣
Wewe unawaza birian kwakuwa ushazoea kulaVidume tuna itana kazini,mchongoni na hata shambani.
👉Hizo inshu za kuitana nyumbani, mta fanya mlishane biriani🤣😂😂😁
Muongo unataka nisimuite😁😁😁Huyo Ni shogaa, so unapo muita sijui una maana gani🙄🤒
Helloowwwwwwww😬😬!!Huyo Ni shogaa, so unapo muita sijui una maana gani🙄🤒
Dogo mi jobless muda was kula biriani, nautoa wapi😂🤣Wewe unawaza birian kwakuwa ushazoea kula
Hahahaaa... kuhusu kupewa taarifa zako za selfika umenikumbushaa kitruuu em nicheke kwanza bwahhahahaaa
Ukute hadi picha zako unazoselfika anatumiwaaaaa!!
Hii ndo Selfikaaaa nyieee!!








Kwani unahusiana nao Kweli nini kuumia????🤠🤠🤠😁Why uni husishe na mashoga🙄🤒
Una zingua, Niki anzisha uzi kuwa Antonnia una sagana - itakuwa fresh sio🙄🤒Helloowwwwwwww😬😬!!
Yule cute wako ulimuita jana, vp alikuja?Ndio
Yaani wanataka wamchukue Kantri, masikini😢?Wanamtumia msg piem aniache
Watu wa jf wanachekesha jamani, niachike wakae wao wanataka
Na siachiki na bwana hawampati ng’o wataishia kumtolea macho![]()
Uongo unaeza kugeuka ukweli🤒Kwani unahusiana nao Kweli nini kuumia????🤠🤠🤠😁
Rellllllaaaaxxx this is just a chitchat 😁😁!!
Cc Ms eyes 😪😪Ndo ukome
Nuzulati ni mkorofi, kunizidi Hadi Mimi🤣😂😂Hivi kumbe na wewe mkorofi![]()
Ila unapenda kula sana na mzoefu as 😂Dogo mi jobless muda was kula biriani, nautoa wapi😂🤣