cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Na mfunge ukazie hasira, inakuwa km unaifunga Simba kwa mchezo wa marudiano![]()



wee uduguuu eti nn??Na mfunge ukazie hasira, inakuwa km unaifunga Simba kwa mchezo wa marudiano![]()



wee uduguuu eti nn??afu inaweza kuwa kweli, tatizo mie ndo mama mjengo, funguo na file za maisha ya shem wako ziko kwangu.




Shem vitu bado sijarecover vzr, dr kanikataza mimba inaweza kutoka hapa hata simu naforce kushika, huoni Kantri anavyonichunga leo!!! Anaogopa mtoto wake asije kutoka bure![]()





watu na vibendi vyao mjiniii.Haswaaaaa!!! Watandike jamvi walaleeeWatasubiri sanaa, wavute mikeka wakae![]()






uduguuuu ukavu sio shida zangu, acha shem wako aogeleeee.



watu na vibendi vyao mjiniii.








Haswaaaaa!!! Watandike jamvi walaleee
![]()








Ila sijasema anaishi dar mie ila tuache hayo ipo siku nutakuambia vizuriUmenyweshwa chai tena imepoa mwali wangu
Hizo details unazotoa zote za uongo, Shem hayupo Dar achilia hiyo shekilango
Hao wamekulisha ndaza, waambie wakupe umbea wa kweli!! Ungeniambia wamehongwa vocha za jero jero mwali wangu nisingekataa hata kidogooooo!!! Kwa hili NIMEKATAA
Ila sijasema anaishi dar mie ila tuache hayo ipo siku nutakuambia vizuri



Swali nipo serious tuache utanj kuna mtu anaweza kumkausha mtu kizazi ?? Msaada tafadhaliKumbe uongo udugu kaendelee kuulilia tyuu
Mimi nikajua exclusive kumbe wadangaji wa vocha wamemjaza maua maneno tupu
Katombeke mdogo angu wasikukaushe uzazi
Ngoja na mie nikamchungulie mzee wa Yanga leo ana hasira wamefungwa sijui km nitapewa![]()
Ila una country yuko wapi??Nipo hapa mmbea mwenzangu ukipata info zozote lete
Selfika bas watu wapo kunjunjana, tumebaki peke yetu
Wewe kwani huna??😅😅😅😅 baby una mtu humu eeh
Swali nipo serious tuache utanj kuna mtu anaweza kumkausha mtu kizazi ?? Msaada tafadhali



emu selfika binti maua achana na misemo yanguIla una country yuko wapi??




Aiseee 😂🤣🤣😂😂,Mtoto wa kiume mbona unakuwa muoga muoga wewe![]()
🤣😂😂😂 Ehhh wataalamu tuna kausha kwa pasi au jiko la mkaa🤣😂Swali nipo serious tuache utanj kuna mtu anaweza kumkausha mtu kizazi ?? Msaada tafadhali
mie thina 😵💫😵💫Wewe kwani huna??