Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shem vitu bado sijarecover vzr, dr kanikataza mimba inaweza kutoka hapa hata simu naforce kushika, huoni Kantri anavyonichunga leo!!! Anaogopa mtoto wake asije kutoka bure
watu na vibendi vyao mjiniii.
 
Umenyweshwa chai tena imepoa mwali wangu
Hizo details unazotoa zote za uongo, Shem hayupo Dar achilia hiyo shekilango

Hao wamekulisha ndaza, waambie wakupe umbea wa kweli!! Ungeniambia wamehongwa vocha za jero jero mwali wangu nisingekataa hata kidogooooo!!! Kwa hili NIMEKATAA
Ila sijasema anaishi dar mie ila tuache hayo ipo siku nutakuambia vizuri
 
Kumbe uongo udugu kaendelee kuulilia tyuu

Mimi nikajua exclusive kumbe wadangaji wa vocha wamemjaza maua maneno tupu

Katombeke mdogo angu wasikukaushe uzazi
Ngoja na mie nikamchungulie mzee wa Yanga leo ana hasira wamefungwa sijui km nitapewa
Swali nipo serious tuache utanj kuna mtu anaweza kumkausha mtu kizazi ?? Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom