Selfika na JF: Snap it. Show it


Toka unipokonye simu yangu umesoma piem zangu ishakuwa shida khaaaaa!!!!
 
Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau 😂🤣🤒
Huku kwetu hawasumbui sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone watazitoa wapi ? Huku kizinga kikubwa ni 10,000/=
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???
 
SEMA UNA JIHOFIA SANA MKUU, AU NDO UNA TAFUTA HURUMA YAKE 🤒🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…