Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
Kamekuja ka kigoriii Nuzulati ππ«¨π«¨π«¨π«¨π«¨π΅βπ«π΅βπ«π΅βπ«π¬
Dah jau jau tuππ€£π, sema yata pita π€Mazee kizazi kitakachozaliwa na hawa mabinti kinaweza kuwa na vichaa wengi sana.. π€£ π€£
πππDah una nionaga mzinzi Sanaππ€£π, na maanisha njiani bhanaπ€£ππ€
Ngoja tumuite National Anthem atupe maoni ππ€£Hili jina silitaki why hamnielewiπ¬π¬
Halafu kuchezea pesa sio viuriππ€£, aje hata kwa miguuππ€πππ
Vijana wa Darisalamu kazi sana, heri niendelee kulima miwa kwetu Kakunyu tu....Dah jau jau tuππ€£π, sema yata pita π€
πππUna utani wewHalafu kuchezea pesa sio viuriππ€£, aje hata kwa miguuππ€
Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau ππ€£π€Vijana wa Darisalamu kazi sana, heri niendelee kulima miwa kwetu Kakunyu tu....
Basi akae kwaoπ€£πππ€πππUna utani wew
huku hapanifai tena maana nitakua naona ulivyo mbea huku nachukia
Ahhaah tuzigeuze Mali ya nani?Pendeze lakini shida zako usizigeuze mali ya ummah....
Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.
Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,
Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager
Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda
Nitawaweka sawa
Huku kwetu hawasumbui sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....Sio dasilamu tu, mikoa yotee ni jau ππ€£π€
Hivyohivyo ulivyoelewa ndugu Tuntufye....Ahhaah tuzigeuze Mali ya nani?
SEMA UNA JIHOFIA SANA MKUU, AU NDO UNA TAFUTA HURUMA YAKE π€π€Vijana wanadema dema sana, wote mna mbinu zinafanana.
Kila wakimtongoza cute wife basi lazima wanipondee,
Siku nikiwa natoka kwenye majukumu yangu alafu nna stress, ntakuja hapa kuwachana mmoja mmoja maana wote naona umri mkubwa lakini akili za ki-teenager
Nitawapa somo vizuri, atayechukia hiyo itakua juu yake. Kuna mmoja huku kwenye mijadala anakua innocent sana, lakini akienda inbox kutongoza anaenda kuniponda
Nitawaweka sawa
Hahaha hakuna kule kabisa ni mwendo wa komoni tuHuku kwetu hawasumbuia sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone hazitusumbui sana, huku mzinga mkubwa ni 10000
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???
Dahhh elfu 10 mbona nyingi Sana ππ€£πHuku kwetu hawasumbuia sana maana wakishamaliza tu Std 7 njemba zinapachika mimba.....
Kwanza hata umeme hakuna, hizo Iphone hazitusumbui sana, huku mzinga mkubwa ni 10000
Eti Mwachiluwi kule kwenu Mwakaleli kuna Kitambaa Cheupe au Kidimbwi, ???