Litoto limepaka sunscreen limekuwa na rangi ya Cappuccino, nadhani hata Perfume lililopulizia itakuwa ni hela ndefu maana ilibaki kwenye nguo zangu wiki nzima. Nikasema hapa kazi ipo sana,.....
Haya mambo ni harisi.. kuna siku nilienda site nje ya mji kufanya survey.. pale ambapo survey ilikuwa yafanyika karibu yake kulikuwa na top mganga lile eneo.. sasa wadada wa dar es salaam pale wanapishana mzee . kuchukua ndumba na kukaanga maboyaa wao... hatari sana hapa mjini hasa hawa mabinti wazuri wazuri.. na uchawi wengine wanaweka kwenye shanga.. ziguse uone mtiti wake π π π π π
Ndiyo maana wanaume wengi wa Tanzania akili zetu ziko kama vichaa. Hawa wanawake wanatuloga kweli yani....
Sasa piga picha una michepuko 5 halafu yote inaenda kwa mganga kukukoleza, unadhani utakuwa mzima kichwani ?
Hapo bado mke wako wa ndoa hajakutengeneza naye, yaaani hawa wanawake hawafanyi fresh hata kidogo mazee
mkuu we kaushia tu.. huu ujinga upo sana JF mtu badala aende pm kupiga sound yeye kama yeye.. anaenda kuanza kuchafua wengine .. kuna utoto mwingi sana..