Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Sinywagi supu
Ushashiba supu eeh?
Ushashiba supu eeh?
Pole kwa kazi mama.
Sinywagi supu
Okey.Kazi gani??
Dadake walimwengu hawakosi lawama nikituma za uwongo wanasema hii umeigoogle nikituma za ukweli wanasema hii si wewe 😁😁😁
Hata wew kakaKomwe kiwango cha lami
Ok mkuuIle uliyosimama sio
Ngoja niifute maana walimwengu mshaanza kukosoa umbaji wa Mungu



mmhh acha urongo
Dadake walimwengu hawakosi lawama nikituma za uwongo wanasema hii umeigoogle nikituma za ukweli wanasema hii si wewe![]()
Okey.
za mwizi 40Na wanasema akiwa anatumia dawa eti vipimo vinaonyesha (-) walah kama ni hivyo twafwaaaa![]()
Nawewe pia.Ukuwe na jumapili njema
DealKaribu sana kaka ukiwa tayari niambie
Sifanyi tenaaaaaaa.
![]()
ndiyo vinini hivyo