Haipaswi kuwa hivyo. Watu mkishakua na relation, mkiachana mnaachana kwa amani tu. Mtu aliyekupenda na kukupa muda wake wala hupaswi kumdhalilisha wala kumsema tena vibaya
Haipaswi kuwa hivyo. Watu mkishakua na relation, mkiachana mnaachana kwa amani tu. Mtu aliyekupenda na kukupa muda wake wala hupaswi kumdhalilisha wala kumsema tena vibaya
Mpendwaa umenusa moshi wa bange nini π π π ... nimezoooma hiyo picha dah! una vidole vizuri kweli vya miguuni.. nikiona vidole vya hivyo elimu yangu inaniambia ndani kuna nini.. Pia una vidole vizuri vya mkononi vya kushika shika hela πππ