Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha tu ndugu yangu sijui leo ninywe kwa mara ya kwanza nileweee [emoji28][emoji28]

Kunywaaaaaa lewaaaaaa kabisaa
Emu nambie bas nani huyo kakuudhi yupo humu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe makavu live
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamejipanga kweli kukunyakulia mume udugu ko umesalenda??

Nimecheka hapo kwenye dildo khaaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshindwa mie uduguuu. Naachia ngaziii.
 
Kunywaaaaaa lewaaaaaa kabisaa
Emu nambie bas nani huyo kakuudhi yupo humu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe makavu live
Siwezi ndugu nitapewa life ban naogopaπŸ™†πŸΎβ€β™€οΈ
 
Na man city uduguuu, hebu fanyaa hivyoooo

Afu nina umbea umenikaba uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mgonjwa mpk doctor anataka kunipokonya simu situlii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siwezi ndugu nitapewa life ban naogopa[emoji2304]

Basi ongea kwa code, unatuachaje sasa wambea wa kijiwe nongwa ee shoga angu?? Vibaya hivo emu ongea utoe sumu mwilini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu nina umbea umenikaba uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mgonjwa mpk doctor anataka kunipokonya simu situlii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuuu fanyaa kuuweka kulee tunakopashana manjegeka ya JF, nasubiri hapa mwenziooo.

Serious.
 
Udugu ana kitu moyoni kukitoa hataki ndo namwambia na mimi sio vizuri kuhifadhi vitu unaweza kufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afanye kukitoa kabisaaa, selfika iko kupokea kila aina ya njegeka la JF, afanye kuwa huru kutupaa content wajaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afanye kukitoa kabisaaa, selfika iko kupokea kila aina ya njegeka la JF, afanye kuwa huru kutupaa content wajaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaishe na nyie mpaka nipigwe huku niliko ndio mfurahiii 😁😁
 
Afanye kukitoa kabisaaa, selfika iko kupokea kila aina ya njegeka la JF, afanye kuwa huru kutupaa content wajaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akitoe tupo hapa wa kukazia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…