Niko poa udugu ila usiku wangu ulikuwa wa hovyo sijaona, nimeota naruka mabweni ya MU
Nimejishangaa niko juu kule samiti afu ngazi sizioni za nje, naziona za ndani na siwezi kuzifikia hapo kibasila, nikaruka nikafikia ngazi nikatoka. Ghafla nipo Kinje nika survive nikatoka, sijatulia nashangaa nipo juu kunambi nimetoka nimepelekwa Sophia, nimetoka nahema nikaibukia Nah hall nyie nikamuona Prof Wiketye ananiangalia na yale mashavu yake
Hizi Dawa leo sinywi nitakufa aiseeee naota vitu ambavyo sivijui