Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
Ahahahah chachandu nin sioWewe ushindwe
Mimi wa uswazi mbona tumezoea vichwa vya kuku na viazi vya kukaanga
Ahahahah chachandu nin sioWewe ushindwe
Mimi wa uswazi mbona tumezoea vichwa vya kuku na viazi vya kukaanga
Hekaheka za ujana kaka
Leo ijuma shemeji nakuomba mpe tabasamu Cute Wife acheke amesema anataka martine rose wine
Oh utaki u fresh za mia mbili zile?



hospital niliolazwa watanicheka!!! Hizo nitakunywa nikitokaSawa ndio namwambia hapa atuachie na gar leo na sisi twende karambezi pale tusafishe machoNakazia
Mwambie shem wako
Leo anataka uongeze kidogo tuBabe wangu tunapeana raha siku zote [mention]Cute Wife [/mention]
Babe wangu tunapeana raha siku zote [mention]Cute Wife [/mention]







Ahahah wewe unaogopa kuchwekwa au bas nakutengenezea ya ukwaju naloweka tu af nachuja naletahospital niliolazwa watanicheka!!! Hizo nitakunywa nikitoka
Sawa ndio namwambia hapa atuachie na gar leo na sisi twende karambezi pale tusafishe macho


Sawasawa chawa wangu hakikisha tajiri anatoa pesa za kula bataUsijali nipo natimiza majuku yangu hapa 😂Sawasawa chawa wangu hakikisha tajiri anatoa pesa za kula bata

😂😂😂 boss acha bas nipambanie twende karambezi sijatoka mda sanadogo una udugu na chawa wa Kwevo
Ahahah wewe unaogopa kuchwekwa au bas nakutengenezea ya ukwaju naloweka tu af nachuja naleta




Maana nikikaa nikiinuka nawaza😂😂😂😂😂Nitaku piem mpishi wetu wa selfika![]()
Jack Palladino shemeji ambaye nakutambua hapa mpaka kwa Mungu baba ukoo juuu Cute Wife anataka kurefresh mind kidogo na martine rose mnunulie pale karambe na anaomba ubook meza mapes kabis fanya kweli








Hiyo ngoja tumuite tajiri Equation x pokea hii request and do the needful pleaseMgonjwa na misumari ya bati wapi na wapi? Hapana mwambie anibebee hata ceres juice ya baridi inanitosha kumezea dawa![]()
Maana nikikaa nikiinuka nawaza
Ukitaka umuweze mtu,mpe hela yote kama hivi.. halafu kazi ibaki kwake sasa.
Jamaa ametuma hela jumla jumla hadi ya kutolea.
Deni limebaki kwangu.



Hana shida babe wangu ndiomana anawindwa sana na nyaku nyaku