Sasa naonekana nasambaza ngwengwe makusudi.. huoni hata kama kuna mdada likuwa aolewe humu hizo fununu kama zamfikia mlengwa si msala huo.. alafu kulala ( uasherati, uzinzi sio ulijali ). Ulijari ni kuwa mwanaume unaweza tekeleza majukumu yako ya kibaba..
Unashangaa huyu wana mzunguzmia mie au ni mtu mwingine.. unakuwa confused... mtu hujawai hata onana nae, na unakuta kuna watu wana mjua humu na kumuheshimu unaunganishwa nae kwenye tela.. wengine wana ndoa zao na familia zao.. unaunganishwaa.. likatokea la kutokea inakuwa tafrani tupu.. kweli JF wengi hawana kazi nimeamini ndio maana unakuta mtu yupo humu 24/7 π π