Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu mtu anakuja nyenyenyeeee nakujua sijui ni single maza sijui una gono, pambafuuuu.
Leo yuko wapiπŸ˜’
Yaani hapa hapafai tena
Hizi tabia za kuchukiana na kuzingatiana sijui zimetokea wapi watu wamekua na interest ya kuongea uongo na kuzushia watu mambo ya hovyo
Dhima ya kuwepo jf inapotea
 

Wewe ita tu sweetheart unashangaa kesho unaskia nina mimba yako ya miezi saba na umeshaniacha tayar
Oohhoo
Haya yote chanzo ni penseli, kisayansi sphincters zikishalegea hata ubongo huwa unaacha kufanya kazi yake sawasawa. Baada ya hapo utumbo huanza kushambuliwa kwa kasi, ndio maana huwa hawatoboi miaka 40
 
Yupoo mbna humu humu, siku hizi hawagi sana lakini. Sasa imagine kipindi kilee napangua jopoo LA watu humu ndaniii, kwa I'd hii hii.

Afu leo mtu anasema nafungua I'd mpya nimtukanee!! Tena kwa kitu kisicho na maana, hivi ananijua au ananisikiaaa??

selfika imevamiwaaa, wallah khaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…