Siku hizi umeacha kuchamba watu??
Umenikumbusha mbali
Kuna jamaa alinambia yaani nyie mnaomwuote huyo dogo nikikutana na nyie nawacharaza fimbo
Halafu dogo nikikutana naye namfunga jiwe akafie baharini
Nilicheka nikakaa chini
Sent using
Jamii Forums mobile app