Selfika na JF: Snap it. Show it

…….🧐
 
ko utawaua?? Kweli umekasirika
Watakufa mie siui.. ila watukufa mmoja baada ya mwingine.. mambo ya kijinga kabisa wanafanya.. nimechukia sana.. kuwachafua watu nimelala nao iilhali hata wengine sijawai waona.. kiasi kwamba wana waharibia cv hao watu ukute wangepata mchumba humu.. ila wakisha onekana wamelala na mie mgonjwaa wanapoteza network.. mie kuchafuliwa mwenyewe sawa ila wasi wahusishe wengine.. maana najua nafamilia yangu haya mataka taka hayawezi fika huku
 
Nilimuonea huruma

Nikasema heri hata sisi tumekutana mara kadhaa tukapiga stori


HS hajui hata unafananiaje
Dada mtu mzima kama huyu jamani!

Heri wadeal na sisi watoto


Ngoja nitupie kale kapicha ka Mlimani City Sema hawachelewi kusema tumevaa sare na tumefanya yetu.
Hawajui hata kama ndugu zetu ndo waliotupiga picha



Hahaha picha ya Audi kipindi kile umekuja kuniona chuo wakati wa msiba inataka watoa watu roho,
Si waombe lift nao wapande


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sisi tuliweka picha ya pamoja

Ndo hizo wametengenezea picha



Mimi wananichekesha
Maana siku napata hizo stori yaani nilicheka sana.

Kumbe hadi jobless mimi nafuatiliwa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ule wimbo Joti anasema, kumbe marafiki nyoka, wengine ni makenge, wengine ni mimamba

Ndio unao apply huku JF.

Pole bana, ukisema u deal nao uta deal na wangapi, raha ya haya mambo mtu anajitekenya halafu anaacha mwenywe
 
Imeniuma kweli, alafu walivo wapuuzi nilipo pita nimeacha grid ya taifa... wanawachafu watu bure tu..

Ningekuja na Benz wangesema nimekuoa kabisa sasa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Unajua nini mdogo wangu, Kinachosumbua wengine humu wivu tu..
 

Pole bro achana nao, mambo ya kuzushiwa yanauma sema ndo binadamu midomo mali yao hawalipii VAT

Km vipi wapotezee, kwan wanaongeza nini kwenye maisha yao
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Labda km unanifananishaa, rudisha kumbukumbu zako vizuri na umpate muhusika sahihi umtakae,

Cna I'd ingne mie, na sina mda wa kufungua I'd mpyaa eti nianze kujibishana au kukutusii, kwa lipi kubwaa haswaa? Mbna sina chochote cha kukuwaziaa wee?

Tafuta mtu sahihi unaetaka ku battle nae, hii I'd nimepigana vita kubwa na nyingi hapa JF ikiwemo selfika, kwa I'd hii, ilifikia hatua hii I'd ilifungwa mazima na nkaipambania had ikarudi hewani, ndo leo nianze kuhaha na I'd mpyaa? Nilishavuka hizo level, uliza uambiweee, afu mambo ya I'd mpya sio shida zangu.

Deal na muhusika wako, sorry dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…