Mtu analia anaona ndege anapaaa kama emirates pole labda next year nitamrudisha akiwa kanenepa maana sasa hivi amekomaa kama wewe Mydevran katulie kwenye upepo wa bahari usije ukafee na preshaa njoo na ID yako tuliokuzoea ndio unichambee
Mjep nilitaka kumfukua mpenzi wako hadi aje amekuja na ID mpya anadai nikukome ila angekuja pm kama ipo wazi nichambwe ila kweli nimeifunga ila ningechambwa sana
Mjep nilitaka kumfukua mpenzi wako hadi aje amekuja na ID mpya anadai nikukome ila angekuja pm kama ipo wazi nichambwe ila kweli nimeifunga ila ningechambwa sana
Mdomo utaniponza sijamfuata mtu mie nimefuatwa nisiseme nani aniponzee nimepitia mengi nyie watoto so mie siogopagi hata awe na picha zangu za ukweli akanitishia anapost apost.tu tena namuongezea
Mdomo utaniponza sijamfuata mtu mie nimefuatwa nisiseme nani aniponzee nimepitia mengi nyie watoto so mie siogopagi hata awe na picha zangu za ukweli akanitishia anapost apost.tu tena namuongezea