Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Ninayo asanteendelea kuchangamsha genge, leo nataka nikutumie vochaπ
Kabisa mm kanishinda tabia
Wewe atapewa baba watoto tu
Ipi na upi na ndoa yakoKabisa mm kanishinda tabia
Wewe ndio unaharibu ungejuaniambie unataka niniπ
Pole sana πππ kazi unayo endelea sana jitahidi basi kuwa na haiba ya kike ππππHunijui labda mie sigombani na mtu wanakuja wenyewe pole .
Kuja na ID YAKO MI NDIO NITAKUJIBU
Ndoa ya mchongo π€£π€£π€£Ipi na upi na ndoa yako
Nawewe kuwa na zotePole sana πππ kazi unayo endelea sana jitahidi basi kuwa na haiba ya kike ππππ
Sikupendi tu walahinimeharibu nini mama, kama husemi ntajuajeπ
Lini na wapi?? Saa ngapi?? Wapi ?? Ilikuwa ijioni au usiku??aisee, sasa mbona siku ile ulisema unanitakaπ
Mwaga kama unaile picha weka nipate danga lakushika hiyo miguuunitamwaga mchele hapaπ
ππππ kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?Nawewe kuwa na zote
Nakuja mheshimiwq on my way π΄Mwachiluwi mbunge hebu njoo mara moja
Haya leta mafile yote uniwekee hadharani na picha zote na kila kitu unachojua ila.kama niuongo block itakuhusu soonππππ kumekucha sasa wewe ukijiangalia vizuri tu ni mtu?
Nakuonea huruma ππππ nikishuka na file lako hapa utashangaa ππ
Vipiii yule bwana ulienda pm na kujichatisha siku nzima na ukujibiwa pm ππππ
Wewe dada nyamaza πππ
Mh huu mkoa nahama hapafai pamechafuka sana sikuizMwachiluwi mbunge hebu njoo mara moja
ππππππππ₯π₯π₯π₯[emoji3059][emoji3059][emoji3059] na bado kuna vingine namletea, sandals ndio umegoma kunisaidia kuchagua
Mwenzio nikipenda, napenda familia yote mpk mifugo ya nyumbani kwenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ile kweli imekaa kichangamsha genge[emoji23][emoji23][emoji23] ile ilikuwa changamsha genge
Unajua tunaigiza? Mimi na Kantri tunamaanisha. Na tunagombanaga Kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Unapenda hadi mifugoπ€£π€£π€£π€£Anne unacheka nini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue mimi mzungu hata cake nikiamua nakubless ule mpishi