Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,487
- 65,822
View attachment 2713477@Cute Wife unasalimiwa na rafiki yako kasema akija dar atakubebea korosho



mwambie zimefika na nampenda sana, aendelee kuniombea binti yake nipate mume bora wa ndoto zangu 



Ahahahha mzigo ukifika kabisa leo kaniukiza mwenyewe hivi rafiki yako yupp mbona unipi nimpe baraka zangu 😂😂😂 anajua mimi ndio nakuoa kwahiyo tulia sasa tulete mahari amekupitisha kwa kishindomwambie zimefika na nampenda sana, aendelee kuniombea binti yake nipate mume bora wa ndoto zangu
Hivi mzigo wake ulimpa kweli? Wewe sikuamini![]()
Ahahahha mzigo ukifika kabisa leo kaniukiza mwenyewe hivi rafiki yako yupp mbona unipi nimpe baraka zanguanajua mimi ndio nakuoa kwahiyo tulia sasa tulete mahari amekupitisha kwa kishindo
Anakupenda pia



Wamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!Mama yangu ni mwelewa sana nishamwambia ila sasaiv ananifanyia utan mimi mama kanilea kama rafiki yake kwahiyo uwasion aibu kumwambia kitu chochote usijar zimefikaWamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!
Mwambie mimi ni rafiki wa wamama wote wenye haiba km yake, kuna mmama nilikuwa nampenda mpk akatamani niolewe na kijana wake na alishaniomba sana nimemkatalia, ukiacha kujichetua humu jf mimi ni mtu poa sana wala sijisifii
Kwahiyo kwa mama yako wala sishangai, mwambie ukweli asijiwekee matumaini hewa
Na nina zawadi nyingine nitampa mwambie
Mama yangu ni mwelewa sana nishamwambia ila sasaiv ananifanyia utan mimi mama kanilea kama rafiki yake kwahiyo uwasion aibu kumwambia kitu chochote usijar zimefika





😂😂😂😂 ndio akanichamba aliniambia acha ubwege wewe mwanaumeKo na yule wifi anayekutesa mpk ukajiliza umemsimulia
Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kumwambia mama basi atanitisha wanaume walivyo mpk natetemeka, nikikumbuka nacheka sana!!!
Kwani yule mzungu mfaransa humrudii tena?Wamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!
Mwambie mimi ni rafiki wa wamama wote wenye haiba km yake, kuna mmama nilikuwa nampenda mpk akatamani niolewe na kijana wake na alishaniomba sana nimemkatalia, ukiacha kujichetua humu jf mimi ni mtu poa sana wala sijisifii
Kwahiyo kwa mama yako wala sishangai, mwambie ukweli asijiwekee matumaini hewa
Na nina zawadi nyingine nitampa mwambie

😂😂😂😂 Alisikitika sana itakuwa!!! dume zima unalilia mapenzi, inatakiwa akutafutie mwanamke wa kimakua uoe😂😂😂😂 ndio akanichamba aliniambia acha ubwege wewe mwanaume
Akinikela nikata na simu



Yule simtaki ataniua kwa njaaAhhahah sitaki kabisa ase😂😂😂😂 Alisikitika sana itakuwa!!! dume zima unalilia mapenzi, inatakiwa akutafutie mwanamke wa kimakua uoe
Hao wamakua wabish aseNdo utulie mapenzi hayapo upande wako![]()
😂 😂 😂 😂 😂 😂View attachment 2713459
Mwenyekiti dronedrake hakuna iliyosema kuoa lazima hapo. Labda kama zipo zingine.




Hao wamakua wabish ase
Ukaamua kuoa?Siku Kama ya leo mwanangu angekuwa anatimiza miaka MIWILI Kama mama yake asingekula nauli![]()
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Siku Kama ya leo mwanangu angekuwa anatimiza miaka MIWILI Kama mama yake asingekula nauli![]()