Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

36DF52BA-40EE-4293-9EE3-2FDEBB36F83A.jpeg
@Cute Wife unasalimiwa na rafiki yako kasema akija dar atakubebea korosho
 
mwambie zimefika na nampenda sana, aendelee kuniombea binti yake nipate mume bora wa ndoto zangu

Hivi mzigo wake ulimpa kweli? Wewe sikuamini
Ahahahha mzigo ukifika kabisa leo kaniukiza mwenyewe hivi rafiki yako yupp mbona unipi nimpe baraka zangu 😂😂😂 anajua mimi ndio nakuoa kwahiyo tulia sasa tulete mahari amekupitisha kwa kishindo

Anakupenda pia
 
Ahahahha mzigo ukifika kabisa leo kaniukiza mwenyewe hivi rafiki yako yupp mbona unipi nimpe baraka zangu anajua mimi ndio nakuoa kwahiyo tulia sasa tulete mahari amekupitisha kwa kishindo

Anakupenda pia

Wamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!

Mwambie mimi ni rafiki wa wamama wote wenye haiba km yake, kuna mmama nilikuwa nampenda mpk akatamani niolewe na kijana wake na alishaniomba sana nimemkatalia, ukiacha kujichetua humu jf mimi ni mtu poa sana wala sijisifii

Kwahiyo kwa mama yako wala sishangai, mwambie ukweli asijiwekee matumaini hewa

Na nina zawadi nyingine nitampa mwambie
 
Wamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!

Mwambie mimi ni rafiki wa wamama wote wenye haiba km yake, kuna mmama nilikuwa nampenda mpk akatamani niolewe na kijana wake na alishaniomba sana nimemkatalia, ukiacha kujichetua humu jf mimi ni mtu poa sana wala sijisifii

Kwahiyo kwa mama yako wala sishangai, mwambie ukweli asijiwekee matumaini hewa

Na nina zawadi nyingine nitampa mwambie
Mama yangu ni mwelewa sana nishamwambia ila sasaiv ananifanyia utan mimi mama kanilea kama rafiki yake kwahiyo uwasion aibu kumwambia kitu chochote usijar zimefika
 
Mama yangu ni mwelewa sana nishamwambia ila sasaiv ananifanyia utan mimi mama kanilea kama rafiki yake kwahiyo uwasion aibu kumwambia kitu chochote usijar zimefika

Ko na yule wifi anayekutesa mpk ukajiliza umemsimulia

Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kumwambia mama basi atanitisha wanaume walivyo mpk natetemeka, nikikumbuka nacheka sana!!!
 
Ko na yule wifi anayekutesa mpk ukajiliza umemsimulia

Mwenzio nilikuwa nikitongozwa naenda kumwambia mama basi atanitisha wanaume walivyo mpk natetemeka, nikikumbuka nacheka sana!!!
😂😂😂😂 ndio akanichamba aliniambia acha ubwege wewe mwanaume

Akinikela nikata na simu
 
Wamama wa ki Tized kwa kujiongeza wako vizuri!!!

Mwambie mimi ni rafiki wa wamama wote wenye haiba km yake, kuna mmama nilikuwa nampenda mpk akatamani niolewe na kijana wake na alishaniomba sana nimemkatalia, ukiacha kujichetua humu jf mimi ni mtu poa sana wala sijisifii

Kwahiyo kwa mama yako wala sishangai, mwambie ukweli asijiwekee matumaini hewa

Na nina zawadi nyingine nitampa mwambie
Kwani yule mzungu mfaransa humrudii tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom