Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Back to the basics.
Kuna mtu ashakunywa Windhoek zangu 5! Namcheki tu nasema hiiii![]()




5x 6000 = 30,000 position ya mshale wa beast 






Kuna mtu ashakunywa Windhoek zangu 5! Namcheki tu nasema hiiii![]()
Ha ha ha life aint fair....beast kanywa 20,000/- tu....5x 6000 = 30,000 position ya mshale wa beast
![]()
Hahaha...
Hebu fanya kama vile ulinunua halafu bahati mbaya meza ikatikisika chupa zikaanguka na kupasuka...

Try Malibu with some fresh milk![]()
Ha ha ha life aint fair....beast kanywa 20,000/- tu....





Imebidi nizime flash😂😂Unamwonea sana beast imagine baadae kama mambo yataenda Sawa atatakiwa ku ferry mtia hasara hadi anapoishi![]()
Hajaingia online muda sanamfuate PM
MkuuNinae hapa mkuu. Kichwa kaweka kifuani.

Hajaingia online muda sana
Mwanza sehemu gani hii?
Kuna mtu ashakunywa Windhoek zangu 5! Namcheki tu nasema hiiii![]()



umenikumbusha sisi matron wetu kila siku asubuhi alikuwa ana tabia ya kutangaza akisema "nafunga geti nazima taa" akimaanisha kwamba anafunga geti kubwa la kuingia kwenye mabweni na anazima taa za mabweni yote kwahiyo wanafunzi watoke mabwenini waende madarasani


sasa siku hiyo badala ya kusema hivyo akasema "nafunga taa nazima geti" aise watu walicheka halafu unajua utoto sasa enzi hizo tunatenga na madaftari ya michapio anayechapia tunamuandika basi tukaenda muandika kwenye daftari la darasa la michapio yaani hadi kesho huwa sisahau
Mkuu
Kwanza kabisa umenikumbusha headmaster wangu wa o level alikua mkenya,
Alimwambia jamaa mmoja "acha kuleta kazi kwenye utani,"
Badala ya utani kwenye kazi