Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Back to the basics.

20191130_232313.jpg
 
umenikumbusha sisi matron wetu kila siku asubuhi alikuwa ana tabia ya kutangaza akisema "nafunga geti nazima taa" akimaanisha kwamba anafunga geti kubwa la kuingia kwenye mabweni na anazima taa za mabweni yote kwahiyo wanafunzi watoke mabwenini waende madarasani

sasa siku hiyo badala ya kusema hivyo akasema "nafunga taa nazima geti" aise watu walicheka halafu unajua utoto sasa enzi hizo tunatenga na madaftari ya michapio anayechapia tunamuandika basi tukaenda muandika kwenye daftari la darasa la michapio yaani hadi kesho huwa sisahau
Mkuu
Kwanza kabisa umenikumbusha headmaster wangu wa o level alikua mkenya,
Alimwambia jamaa mmoja "acha kuleta kazi kwenye utani,"
Badala ya utani kwenye kazi
 
Back
Top Bottom