Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Zama zinabadilika πHanaga noma huyo
Zama zinabadilika πHanaga noma huyo
Jeeeez'
Kwahyo ndio umemfungia vizuriiiπZama zinabadilika π
Acha ujeuri!!!!!!π€¨π€¨π€¨ππππ sitaki
Jamani....kwanini ni π₯π₯ ?? ππ€£ππ€£ππ₯π₯π₯π₯
Dakta umetishaaaa sanaaa au leo na wewe ulikuwa high on something eeeeeh πππ€£πJamani....kwanini ni π₯π₯ ?? ππ€£
π€£π€£π€£π€£π€£Ile comments nimeipenda aiseee ππ₯π₯π₯ she must be eating them like tiger nuts Dr Lizzy ππ₯π₯π₯π₯π₯π₯
Ni ujinga tu umenijaa!!ππππDakta umetishaaaa sanaaa au leo na wewe ulikuwa high on something eeeeeh πππ€£π
Hahahaaaaa janja sana wewee πππ€£ ndio maana hata dogo janja yule naonaga anatupia sana pigo za kijanja mama yake anajua ππ€£π€£π€£π€£π€£
Jamani mie ni good girl π― !!!!ππ
Sema unajuaga kuna ile mmeanza tu mara ghafla mmebwagana....sasa ili kuwanyima kina hivi yule mshkaji wako/wake siku hizi vipi βcontent nakua natupia pia za kijanja walau miezi 6 ifike!ππΆβπ«οΈ
Hahahaaaaa ujinga π€£ππ haujanizidi mimi πNi ujinga tu umenijaa!!ππππ
Ni kaujanja tu kamenijia ghafla maana mwaka juzi kuna mtu nilim-date kidogo basi maswali yalivyofuata sasa.....mpaka mwaka huu naulizwa!!!!πππHahahaaaaa janja sana wewee πππ€£ ndio maana hata dogo janja yule naonaga anatupia sana pigo za kijanja mama yake anajua π
Na usiache!! Ujinga ni afya ya akili!!!πHahahaaaaa ujinga π€£ππ haujanizidi mimi π
Na huyu mimi nimeshamkariri hicho kiwiko ukifanya mambo yako tu naanza kukuhesabia ππππ€£Ni kaujanja tu kamenijia ghafla maana mwaka juzi kuna mtu nilim-date kidogo basi maswali yalivyofuata sasa.....mpaka mwaka huu naulizwa!!!!πππ
Dah kweli aisee mda mwingine nafurahia sana haya mauza uza yangu ππ€£π na nikiwa na ninao fanana nao kama hapa nilipo basi ni kucheka tu kama mazombiee π€£πNa usiache!! Ujinga ni afya ya akili!!!π
Usikue hivyo basi!!!π³πππ€£π€£π€£π€£Na huyu mimi nimeshamkariri hicho kiwiko ukifanya mambo yako tu naanza kukuhesabia ππππ€£
Duh aiseee unajua kupanchuaaa wewee π€£π hamna bhana nakutania tu hahahahaaaaUsikue hivyo basi!!!π³πππ€£π€£π€£π€£
Utafanya nipige kiwiko chake picha nyingi alafu niwe nazitupia mdogo mdogo!!π«£ππ
πππDah kweli aisee mda mwingine nafurahia sana haya mauza uza yangu ππ€£π na nikiwa na ninao fanana nao kama hapa nilipo basi ni kucheka tu kama mazombiee π€£π
I'm a problem solver!!!πππDuh aiseee unajua kupanchuaaa wewee π€£π hamna bhana nakutania tu hahahahaaaa
Wajinga wenzio ππ dah we acha tuπππ
Ni muhimu sana aiseee!!!ππΎππΎ
Ukiwa na mjinga mwenzio hata stress za maisha huwa zinasahaulika kidogo kwa muda!!π