Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

achana na vya wakubwaa kijana 😅😅😅😅 tunda is no more kizungu wanasema.. sema nini mwanaaa.. acha jambo moja kama mwamba na mwanaume mwenzako.. kaa mbali kuzunguzia Depal huko pm na hasa kuizungumzia in negative taarifa zaniangukia mikononi mwangu ... unaweza ukawa humpendi.. ila kausha kibingwaaa .. sie wote wanaume .. Najua umeisha elewa . ukiona mtu humpendi potezeaa sio unaanza muangelea negative na hata kama kweli unakuwa sio msemaji wake katika maisha yake..
Duuuh maana ya pm ni nn kwani??
Sio Private Message 🤔🤔🤔.

Anyway mwambie huyo mchumba wako na crew yake walilianzisha wenyewe na mimi nitalimaliza ama zake ama zangu.

😎😎😎😎😎.
 
achana na vya wakubwaa kijana 😅😅😅😅 tunda is no more kizungu wanasema.. sema nini mwanaaa.. acha jambo moja kama mwamba na mwanaume mwenzako.. kaa mbali kuzunguzia Depal huko pm na hasa kuizungumzia in negative taarifa zaniangukia mikononi mwangu ... unaweza ukawa humpendi.. ila kausha kibingwaaa .. sie wote wanaume .. Najua umeisha elewa . ukiona mtu humpendi potezeaa sio unaanza muangelea negative na hata kama kweli unakuwa sio msemaji wake katika maisha yake..
😄😄 em njoo tuvute weed, kama tumeishiwa vya kufanya
 
National Anthem Mwamba anasema uendelee kusubiri tu!!!
20230805_172103.jpg
20230805_191631.jpg

CC
Depal 😉
 
Duuuh maana ya pm ni nn kwani??
Sio Private Message 🤔🤔🤔.

Anyway mwambie huyo mchumba wako na crew yake walilianzisha wenyewe na mimi nitalimaliza ama zake ama zangu.

😎😎😎😎😎.
wewe ni mwanaume bro.. usitumie nguvu nyingi kugombana nao na hawa mabinti banaaa.. wisdom huwa tunakaa kimya hata kama tumepishana na hawa watoto.. Potezea nakuambia kama mwanaume mwenzako.. kama muelewa utaelewa na sio lazima uache unacho endelea kufanya, ila kila unapo haribu mie zinanifikia .. na ninakuambia kishkaji kindugu kiume na kipendwaa.. na nimemaliza.. ✌️✌️✌️✌️...
 
wewe ni mwanaume bro.. usitumie nguvu nyingi kugombana nao na hawa mabinti banaaa.. wisdom huwa tunakaa kimya hata kama tumepishana na hawa watoto.. Potezea nakuambia kama mwanaume mwenzako.. kama muelewa utaelewa na sio lazima uache unacho endelea kufanya, ila kila unapo haribu mie zinanifikia .. na ninakuambia kishkaji kindugu kiume na kipendwaa.. na nimemaliza.. ✌️✌️✌️✌️...
👍👍👍🙏💪
 
Back
Top Bottom