National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
🥸🥸 hujajiunga jf sie wapenzi.. kafatilie uzi huko wa road trip enzi hizo tumeanzaanahii chai inanipalia mkuu😅
🥸🥸 hujajiunga jf sie wapenzi.. kafatilie uzi huko wa road trip enzi hizo tumeanzaanahii chai inanipalia mkuu😅
Duuuh maana ya pm ni nn kwani??achana na vya wakubwaa kijana 😅😅😅😅 tunda is no more kizungu wanasema.. sema nini mwanaaa.. acha jambo moja kama mwamba na mwanaume mwenzako.. kaa mbali kuzunguzia Depal huko pm na hasa kuizungumzia in negative taarifa zaniangukia mikononi mwangu ... unaweza ukawa humpendi.. ila kausha kibingwaaa .. sie wote wanaume .. Najua umeisha elewa . ukiona mtu humpendi potezeaa sio unaanza muangelea negative na hata kama kweli unakuwa sio msemaji wake katika maisha yake..
pole bila busu 😔😔😔Pole jamani
😄😄 em njoo tuvute weed, kama tumeishiwa vya kufanyaachana na vya wakubwaa kijana 😅😅😅😅 tunda is no more kizungu wanasema.. sema nini mwanaaa.. acha jambo moja kama mwamba na mwanaume mwenzako.. kaa mbali kuzunguzia Depal huko pm na hasa kuizungumzia in negative taarifa zaniangukia mikononi mwangu ... unaweza ukawa humpendi.. ila kausha kibingwaaa .. sie wote wanaume .. Najua umeisha elewa . ukiona mtu humpendi potezeaa sio unaanza muangelea negative na hata kama kweli unakuwa sio msemaji wake katika maisha yake..
🔥🔥🔥🔥me need it now(boom boom)🎶
oouu baby(boom boom)
koukou kill me(boom boom0
😂😂😂Wee mjinga sanaMikono ya mkandaji hapana kwa kweli😂😂😂😂 hao wenye mikono ya hivyo ndio wanasugua kiharage km anataka kuwasha moto, afu wabishi hawapendi kuambiwa ukweli
Mwamba amekatwa sana 😍😍National Anthem Mwamba anasema uendelee kusubiri tu!!!View attachment 2709600View attachment 2709601
CC
Depal
wewe ni mwanaume bro.. usitumie nguvu nyingi kugombana nao na hawa mabinti banaaa.. wisdom huwa tunakaa kimya hata kama tumepishana na hawa watoto.. Potezea nakuambia kama mwanaume mwenzako.. kama muelewa utaelewa na sio lazima uache unacho endelea kufanya, ila kila unapo haribu mie zinanifikia .. na ninakuambia kishkaji kindugu kiume na kipendwaa.. na nimemaliza.. ✌️✌️✌️✌️...Duuuh maana ya pm ni nn kwani??
Sio Private Message 🤔🤔🤔.
Anyway mwambie huyo mchumba wako na crew yake walilianzisha wenyewe na mimi nitalimaliza ama zake ama zangu.
😎😎😎😎😎.
Thanks Mwachi!!!
Mshamba huyo hawezi kuelewa 😄🥸🥸 hujajiunga jf sie wapenzi.. kafatilie uzi huko wa road trip enzi hizo tumeanzaana
😅😅😅 alafu muwe na adabu kuna mtu ananichafukia status ya malkia wangu, nitamroga shauli yake..basi basi natulia shem😅 nisamehe bure
Naweka mazingira yakutoshtukiwa siku nikimbadilisha!!🙈🙈🙈🙈Mwamba amekatwa sana 😍😍
kama mtoto akizalwa hata hajuwi wazazi wake walikutanaje 😅😅😅Mshamba huyo hawezi kuelewa 😄
Umeona uniumize tu moyo wangu usiku nisipate usingizi 🥴🥴🥴🥴National Anthem Mwamba anasema uendelee kusubiri tu!!!View attachment 2709600View attachment 2709601
CC
Depal 😉
👍👍👍🙏💪wewe ni mwanaume bro.. usitumie nguvu nyingi kugombana nao na hawa mabinti banaaa.. wisdom huwa tunakaa kimya hata kama tumepishana na hawa watoto.. Potezea nakuambia kama mwanaume mwenzako.. kama muelewa utaelewa na sio lazima uache unacho endelea kufanya, ila kila unapo haribu mie zinanifikia .. na ninakuambia kishkaji kindugu kiume na kipendwaa.. na nimemaliza.. ✌️✌️✌️✌️...
chochote ukitaka nafanya 😊😊😊...😄😄 em njoo tuvute weed, kama tumeishiwa vya kufanya
si tayari wameniona.. siku ukibadilisha wanajua ni mie ndio nimechukua nafasi yake 😅😅😅hakuna siri tenaNaweka mazingira yakutoshtukiwa siku nikimbadilisha!!🙈🙈🙈🙈