ila one day itakuja kuwa yes.. binadamu tunapishana na kuna kipindi huwa tunakuwa sawaaa tenaa... hadi napata uvivu wa kutupia vocha za buku tano tanoo shangazi wangu πππ
Hili la nyota nataka ukuje unielezee au niseme ukweli wako wote humu sasa manaa ule nimekoroga wasielewe ukweli nipangilie au unakuja PM uniambie mnatumiaje nyota yangu
ila one day itakuja kuwa yes.. binadamu tunapishana na kuna kipindi huwa tunakuwa sawaaa tenaa... hadi napata uvivu wa kutupia vocha za buku tano tanoo shangazi wangu πππ
Hili la nyota nataka ukuje unielezee au niseme ukweli wako wote humu sasa manaa ule nimekoroga wasielewe ukweli nipangilie au unakuja PM uniambie mnatumiaje nyota yangu