Wewe mimi sina bifu na yeyote humu bana, unaweza kugombana na fake id?? Kwanza nahisi humu nachat na marobot maana sijawahi kuwaona
Afu mbona wanaume na nyie mnagombana? Huyo aliyekwambia ana bifu na mimi atakuwa anajishtukia!!! Mimi nina bifu na pesa tu